nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Ni PMChief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni PMChief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
mkuu mbona mkaliNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo m
Mkuu waganga wa kukusaodia ulipwe madeni wako kuanzia iringa njimbe mbeya huko mtu anapgwa kitu kama ni me basi kila muda anaminywa mbutu na watu wasioonekana ni hatari sanaNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Upo mkoa gani mkuu?
Kuna mmoja yupo hapa Nyamadoke jijini mwanza yuko vizuri.
Mengineyo njoo inbox
Connection mkuu.Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Umeambiwa kama uzi haukuhusu kaa kmt mkuuYesu ni mganga mzuri kuliko vigagula vyote
Watanzania tuna roho za mashaka sana ata hii nayo matapeli wameingia kufanya fursa hahaha hii nchi maisha magumu sana aiseee
Mkuu uko serious?Boss huyo mganga bado yupo?
Achana na hayo mambo mdogo wanguNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Bado yupo huyo wa nyamadoke, Kuna mtu kaniibia ng'ombe wangu nataka nimzimeUpo mkoa gani mkuu?
Kuna mmoja yupo hapa Nyamadoke jijini mwanza yuko vizuri.
Mengineyo njoo inbox
We mwanamke umepotelea wapi, au upo chato unatambikwa,We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?
Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?
Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?
Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?
Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban😒!