Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Chief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
Ni PM
 
Ni nini kimekuaminisha kama shida yako itatatuliwa na Mganga?? Kama hutojali, waweza DM shida yako??
Naweza nisiwe msaada wa moja kwa moja ila kwa namna moja ama ingine naweza kuwa msaada pia. Asante
 
Mkuu mk
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
mkuu mbona mkali
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo m
 
Watanzania tuna roho za mashaka sana ata hii nayo matapeli wameingia kufanya fursa hahaha hii nchi maisha magumu sana aiseee
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mkuu waganga wa kukusaodia ulipwe madeni wako kuanzia iringa njimbe mbeya huko mtu anapgwa kitu kama ni me basi kila muda anaminywa mbutu na watu wasioonekana ni hatari sana
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Connection mkuu.
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Achana na hayo mambo mdogo wangu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?

Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?

Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?

Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?

Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban😒!
We mwanamke umepotelea wapi, au upo chato unatambikwa,
 
Back
Top Bottom