Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Mtafute shafii ze don atakupa mbinuNimeenda nimekutana na dawa ya mgomba hiyo ni nouma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute shafii ze don atakupa mbinuNimeenda nimekutana na dawa ya mgomba hiyo ni nouma
Sijafanikiwa hiivo but sina stress tena atleast I'm comfortableInaelekea umefanikiwa kutoboa mkuu naomba mbinu
Naomba mbinu nipunguze stressSijafanikiwa hiivo but sina stress tena atleast I'm comfortable
[emoji120]Mtafute shafii ze don atakupa mbinu
Shukran!!Chaka
Ni kuongeza juhudi na ubunifu tu mkuuNaomba mbinu nipunguze stress
Habari kaka naomba tuonge private ninashida vibaya sana[emoji41][emoji41][emoji41][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Hapo tuu ushakufuru, Mungu ndiye hakimu walla sio yesu so rudi darasani kwanzaSiku ya hukumu ni face to face na Yesu, mganga wako naye atakuwa akitetemeka mbele za huyu Mhukumu wa ulimwengu. Okoka leo uokoe maisha yako ya sasa na baadaye
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃 hana tofauti na huyu mganga anaye tafutwa hukuNipo hapa kwa Mwamposya. Watu wametoka Mikoani. Wengine wametoka nje ya nchi.
Mwamposya anawatibu sasa. Anawagusa mmoja mmoja. Mstari mrefu wa watu. Wamesimama shoulder to shoulder mstari wa 100 metres.
Hiyo ni awamu ya kwanza. Sasa awamu ya pili inaambiwa ijitayarishe.
[emoji16][emoji16][emoji16]Bwana mkunaji limemkuta pere
Karibu bila shakaHabari kaka naomba tuonge private ninashida vibaya sana
Karibu bila shakaHabari kaka naomba tuonge private ninashida vibaya sana
Ninashida na mtaalamu Ila awe wa ukweli kabisaKaribu bila shaka
1. TangaNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Kuangalia matatizo tu ni 6000Name: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
Mkuu kwemaa? Naomba KUJUA MATUMIZI YA CHUMVI YA MAWE KIIMANI,Karibu bila shaka
Ni kweli na si uongooKuangalia matatizo tu ni 6000
Na anaonekana ana tamaa tu