Njoo DmNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
mawasiliano yako broo plz.Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Kijiji cha mwisho kufika muheza ni kibanda,mganga anakaa wapi pale?Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Hakuna ndumba za kumfanya mdeni akulipe! Sana sana unatoa onyo na muda..
Muda ukipita dondosha mmoja halafu wengine wapate taarifa
Wasukuma ni matajiri here toka lini huku Dae ndo wachota maji zenji wabeba mizigo.na huwa wanatembea kishamba wepesi kuwatapeli na wanavaa Mangum fekiWe kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?
Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?
Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?
Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?
Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban๐!
Njoo inbox nikuelekeze mganga wa kweliNaomba namba zako mkuu
Mkuu naomba ni pm namba yakoKama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.
Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Nitumie namba zako mkuu, seriousKama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.
Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Mkuu ni pm namba yakoNilikwambia uje mwanza
Nikakuhakikishia kabisa kwa huyu mtu utaona matokeo chanya
Cha ajabu sikuona response yako, au ulidhulumiwa hadi nauli mkuu?
Nicheki mkuu๐ก๐ท๐ผ๐ผ ๐ป๐ถ๐ธ๐๐ฝ๐ฒ ๐ป๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐บ๐๐ ๐ณ๐น๐ฎ๐ป๐ถ ๐ฎ๐๐ถ๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐น๐ฒ๐น๐ฒ. ๐ ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ ๐๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ.
๐จ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ฒ ๐๐ต๐๐ด๐ต๐๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐บ๐๐ผ๐ป๐ฎ๐ป๐ฒ
๐๐ถ๐ป๐ฎ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐ท๐๐ ๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐น๐ถ, ๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐๐ป๐ถ๐๐บ๐ฏ๐๐ฒ ๐ต๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐ท๐ณ
Huyu aliniomba pesa ya Ramli 10k niweke na ya kutolea, nikaona tapeli huyu0753 966 345 Kigoma Moja hiyo[emoji28]
Waganga asilimia 80 ni wa uongo ssbabu tukimpata wa kweli tunaogopa kumexpose ikimfikia namba adui yako umekwisha.pia kwa uzoefu mganga huwa mnakuja gombana akitaka toa siri za kambi anajikuta hana uliemtambulisha .
Nakushauri katafute mganga mwenyewe acha kuomba sijui namba za simu .mfano mm natoa ramani ya bure hii.
1.kibondo vijijini .ww ukifika usiulize watu mganga yuko wapi nyoosha kijijini kisha usiseme umefata nini siku 2 ukihoji mabodaboda utawapata
2.nenda hadi kigoma mjini .usiulize mtu nenda panda boti bandar inaitwa kibirizi wambie wakuache kijiji kiko ziwani kinaitwa kalya hapo usikurupuke nenda kwenye vibaa vyao wasome watu mwenyewe tafuta mzee mstaarabu mueleze .
Baaada ya kuwapata hao sasa ndo watakuwa wanakuhudumia kwa simu na kukutumia madawa pia nakushauri usitoe namba kwa watu wa karibu yako kama ambavyo mm hata unihonge kariakoo na posta sitoi wangu.
Nb : usije jisumbua inbox sijibu mimi sio tapeli niulize nkujibu hapa hapa
Soma tena uelewe kila sentensiNaomba namba ya mganga wako kaka,nitashukuru sana[emoji120]
Kusikia kwa kenge Hadi damu itoke puani.Soma tena uelewe kila sentensi
Ukienda bila ramani na uulize kila mtu hasa Kwa kigoma umeisha,watu wa kigoma kila umuonaye ni wakala wa mganga fulani,hii naongea ilishanikuta kasulu Kijiji cha kasesa ambapo nilifika na kuulizia boda mmoja ambaye nilimuona ametulia.Waganga asilimia 80 ni wa uongo ssbabu tukimpata wa kweli tunaogopa kumexpose ikimfikia namba adui yako umekwisha.pia kwa uzoefu mganga huwa mnakuja gombana akitaka toa siri za kambi anajikuta hana uliemtambulisha .
Nakushauri katafute mganga mwenyewe acha kuomba sijui namba za simu .mfano mm natoa ramani ya bure hii.
1.kibondo vijijini .ww ukifika usiulize watu mganga yuko wapi nyoosha kijijini kisha usiseme umefata nini siku 2 ukihoji mabodaboda utawapata
2.nenda hadi kigoma mjini .usiulize mtu nenda panda boti bandar inaitwa kibirizi wambie wakuache kijiji kiko ziwani kinaitwa kalya hapo usikurupuke nenda kwenye vibaa vyao wasome watu mwenyewe tafuta mzee mstaarabu mueleze .
Baaada ya kuwapata hao sasa ndo watakuwa wanakuhudumia kwa simu na kukutumia madawa pia nakushauri usitoe namba kwa watu wa karibu yako kama ambavyo mm hata unihonge kariakoo na posta sitoi wangu.
Nb : usije jisumbua inbox sijibu mimi sio tapeli niulize nkujibu hapa hapa