Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Njoo Dm
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
mawasiliano yako broo plz.
 
Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo
Kijiji cha mwisho kufika muheza ni kibanda,mganga anakaa wapi pale?
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
 
We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?

Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?

Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?

Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?

Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban😒!
Wasukuma ni matajiri here toka lini huku Dae ndo wachota maji zenji wabeba mizigo.na huwa wanatembea kishamba wepesi kuwatapeli na wanavaa Mangum feki
 
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Mkuu naomba ni pm namba yako
 
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Nitumie namba zako mkuu, serious
 
𝗡𝗷𝗼𝗼 𝗻𝗶𝗸𝘂𝗽𝗲 𝗻𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗺𝘁𝘂 𝗳𝗹𝗮𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗲 𝗻𝗮 𝗸𝗲𝗹𝗲𝗹𝗲. 𝗠𝗮𝘁𝗼𝗸𝗲𝗼 𝘂𝘁𝗮𝘆𝗮𝘀𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼.

𝗨𝗸𝗶𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗶𝗲 𝘀𝗵𝘂𝗴𝗵𝘂𝗹𝗶 𝗻𝗷𝗼𝗼 𝗺𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗺𝘂𝗼𝗻𝗮𝗻𝗲

𝘀𝗶𝗻𝗮 𝗹𝗼𝗻𝗴𝗼 𝗹𝗼𝗻𝗴𝗼 𝗷𝘂𝘂 𝘆𝗮 𝗵𝗶𝗹𝗶, 𝗮𝗸𝗶𝗸𝘂𝘁𝗮𝗽𝗲𝗹𝗶 𝗻𝗷𝗼𝗼 𝘂𝗻𝗶𝘂𝗺𝗯𝘂𝗲 𝗵𝗮𝗽𝗮 𝗷𝗳
Nicheki mkuu
 
Waganga asilimia 80 ni wa uongo ssbabu tukimpata wa kweli tunaogopa kumexpose ikimfikia namba adui yako umekwisha.pia kwa uzoefu mganga huwa mnakuja gombana akitaka toa siri za kambi anajikuta hana uliemtambulisha .

Nakushauri katafute mganga mwenyewe acha kuomba sijui namba za simu .mfano mm natoa ramani ya bure hii.

1.kibondo vijijini .ww ukifika usiulize watu mganga yuko wapi nyoosha kijijini kisha usiseme umefata nini siku 2 ukihoji mabodaboda utawapata
2.nenda hadi kigoma mjini .usiulize mtu nenda panda boti bandar inaitwa kibirizi wambie wakuache kijiji kiko ziwani kinaitwa kalya hapo usikurupuke nenda kwenye vibaa vyao wasome watu mwenyewe tafuta mzee mstaarabu mueleze .
Baaada ya kuwapata hao sasa ndo watakuwa wanakuhudumia kwa simu na kukutumia madawa pia nakushauri usitoe namba kwa watu wa karibu yako kama ambavyo mm hata unihonge kariakoo na posta sitoi wangu.
Nb : usije jisumbua inbox sijibu mimi sio tapeli niulize nkujibu hapa hapa
 
Waganga asilimia 80 ni wa uongo ssbabu tukimpata wa kweli tunaogopa kumexpose ikimfikia namba adui yako umekwisha.pia kwa uzoefu mganga huwa mnakuja gombana akitaka toa siri za kambi anajikuta hana uliemtambulisha .

Nakushauri katafute mganga mwenyewe acha kuomba sijui namba za simu .mfano mm natoa ramani ya bure hii.

1.kibondo vijijini .ww ukifika usiulize watu mganga yuko wapi nyoosha kijijini kisha usiseme umefata nini siku 2 ukihoji mabodaboda utawapata
2.nenda hadi kigoma mjini .usiulize mtu nenda panda boti bandar inaitwa kibirizi wambie wakuache kijiji kiko ziwani kinaitwa kalya hapo usikurupuke nenda kwenye vibaa vyao wasome watu mwenyewe tafuta mzee mstaarabu mueleze .
Baaada ya kuwapata hao sasa ndo watakuwa wanakuhudumia kwa simu na kukutumia madawa pia nakushauri usitoe namba kwa watu wa karibu yako kama ambavyo mm hata unihonge kariakoo na posta sitoi wangu.
Nb : usije jisumbua inbox sijibu mimi sio tapeli niulize nkujibu hapa hapa

Naomba namba ya mganga wako kaka,nitashukuru sana[emoji120]
 
Waganga asilimia 80 ni wa uongo ssbabu tukimpata wa kweli tunaogopa kumexpose ikimfikia namba adui yako umekwisha.pia kwa uzoefu mganga huwa mnakuja gombana akitaka toa siri za kambi anajikuta hana uliemtambulisha .

Nakushauri katafute mganga mwenyewe acha kuomba sijui namba za simu .mfano mm natoa ramani ya bure hii.

1.kibondo vijijini .ww ukifika usiulize watu mganga yuko wapi nyoosha kijijini kisha usiseme umefata nini siku 2 ukihoji mabodaboda utawapata
2.nenda hadi kigoma mjini .usiulize mtu nenda panda boti bandar inaitwa kibirizi wambie wakuache kijiji kiko ziwani kinaitwa kalya hapo usikurupuke nenda kwenye vibaa vyao wasome watu mwenyewe tafuta mzee mstaarabu mueleze .
Baaada ya kuwapata hao sasa ndo watakuwa wanakuhudumia kwa simu na kukutumia madawa pia nakushauri usitoe namba kwa watu wa karibu yako kama ambavyo mm hata unihonge kariakoo na posta sitoi wangu.
Nb : usije jisumbua inbox sijibu mimi sio tapeli niulize nkujibu hapa hapa
Ukienda bila ramani na uulize kila mtu hasa Kwa kigoma umeisha,watu wa kigoma kila umuonaye ni wakala wa mganga fulani,hii naongea ilishanikuta kasulu Kijiji cha kasesa ambapo nilifika na kuulizia boda mmoja ambaye nilimuona ametulia.

Alinitoa hapo lusesa kwenda Kijiji kingine ndanindani,akikonipeleka sasa yaani nilitoa Hela na sikuona maajabu yoyote zaidi ya mikosi tu.

Mikosi kiaje?

Kwanza demu wangu alinikataaa baada tu ya kutoka huko...pili nilichukiwa Sana na watu kiasi hii iliniletea ugomvi Sana.

Kwahy waganga wa kigoma wengi ni matapeli.
 
Back
Top Bottom