Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Hakuna siji kukutongoza naapia kuna kitu nimeona nikasema nikipata namba yako itakua imenipa mwanga zaidi
Nimekwepa mikuki mingi sana mpaka muda huu, ndimi za wanaume ni kama sumaku, hapana aisee.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
 
Nimekwepa mikuki mingi sana mpaka muda huu, ndimi za wanaume ni kama sumaku, hapana aisee.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Mkuu mimi sikutongozi mboni hujaelewa kuna issue private sana nataka tuzungumzie
 
Toa namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…