Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Ya kumwamini nani?Ref. Imani yako ndiyo iliyokuponya......
1. Yesu.?
2. Maria.?
3. Yosefo.?
4. Ngombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kumwamini nani?Ref. Imani yako ndiyo iliyokuponya......
shemeji yako ana wivu sana, nitharibu ndoa uzeeni.Mkuu nitumie namba yako ya Whatsapp PM
Hakuna siji kukutongoza naapia kuna kitu nimeona nikasema nikipata namba yako itakua imenipa mwanga zaidishemeji yako ana wivu sana, nitharibu ndoa uzeeni.
Nimekwepa mikuki mingi sana mpaka muda huu, ndimi za wanaume ni kama sumaku, hapana aisee.Hakuna siji kukutongoza naapia kuna kitu nimeona nikasema nikipata namba yako itakua imenipa mwanga zaidi
Mkuu mimi sikutongozi mboni hujaelewa kuna issue private sana nataka tuzungumzieNimekwepa mikuki mingi sana mpaka muda huu, ndimi za wanaume ni kama sumaku, hapana aisee.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
pmMkuu mimi sikutongozi mboni hujaelewa kuna issue private sana nataka tuzungumzie
Ndio pm
Toa nambaKuna mmoja yupo tabora ni mzuri sana, yeye anakufanyia kazi majibu unayaona kesho, Kuna mjinga mmoja nilimkopesha mil 1.7 akaanza kunizungusha pamoja na kwamba tuliandikishana kwa mwanasheria but ilipofika tarehe ya kulipa ulikua 20/January this year jamaa anasema hana pesa, kwenda kwa mwanasheria akaniambia nimuandikie barua nikimkumbusha deni pia nimuambie kuwa Nina nia ya kumshtaki baada ya siku saba nikafungue kesi mahakamani ambapo Hutu huyu mwanasheria ndo awe mtetezi na wakili wangu sasa nikapiga hesabu kama kuandikisha mkataba wa kukopeshana wakili alilamba laki je akinisimamia kesi si atanitoboa patefu pia muda utapotea basi nikampigia Huyo Fundi nikamueleza shida anasema nimuandalie chakula( pombe ) niende nazo usiku akapiga kazi akaniambia kesho asubuhi atakuletea pesa, nikamtoa ten, kesho saa12 asubuhi jamaa huyu hapa mlangoni ananiomba msamaha anasema ana mil1 inayobaki nimvumilie tarehe 5 February, nikabeba tarehe tano akaleta laki tatu, iliyobaki kaahidi tarehe 25 tena naifuata mwenyewe kwa mhasibu wake, pili Kuna jamaa yangu mmoja nilimpa ramani alikua ananiambia Kuna rafiki yake waliyeanza Maisha ya utafutaji sasa hivi yuko njema sasa kila akimuomba amkopeshe mil 5 jamaa anachomoa nilimpleka akafanyia kazi hadi aliondoka anachechemea, baada ya siku mbili nikaambiwa jamaa amenunua pump na machine Fulani za Mgodini sasa nilipomuuliza kama dili lilifanikiwa ananificha hadi Leo but najua alifanikiwa coz alikua hana hata mia mbovu hata gharama ya kwenda kwa mtaalam nilimchangia 20k but anamsifia sana fundi.
Nina muhitaji huyu tafadhaliUpo mkoa gani mkuu?
Kuna mmoja yupo hapa Nyamadoke jijini mwanza yuko vizuri.
Mengineyo njoo inbox
Upo mkoa gani mkuu?
Kuna mmoja yupo hapa Nyamadoke jijini mwanza yuko vizuri.
Mengineyo njoo inbox
Habar yako, mim nina shida ya namba ya uyo mganga plz naomba nisaidie ninashida kubwa sana na ya haraka plzTanga kwa msisi ni kiboko kama unataka namba upewe