Sina aiseeeHauna ndugu ambaye ni muajiriwa?
Nyumba Iko Dodoma. Ina vyumba vitatu,Kimoja master. Public Toilet, Jiko ndani Iko ndani ya fensi.Mkopo wa Sh ngapi? na Nyumba unayoweka dhamana ipo wapi na ipoje?
Natamani kupata 20MilMkopo wa Sh ngapi? na Nyumba unayoweka dhamana ipo wapi na ipoje?
Utapata tu mkuu udhamini unao wa uhakika.Halloww, naombeni msaada jamani.
Wapi nitapata mkopo kwa Kuweka dhamana ya Nyumba?. Nimejaribu kwenye Banks wanasema mpaka niwe na biashara au Mfanyakazi wa Serikali, NAHITAJI MKOPO ambao dhamana ni nyumba TU. MKOPO usiwe wa dharura lakini. Niurejeshe taratibu.
Thamani ya nyumba ni Sh.ngapi? huo mkopo umepanga kuurejesha kwa muda gani na riba yako ipoje?Nyumba Iko Dodoma. Ina vyumba vitatu,Kimoja master. Public Toilet, Jiko ndani Iko ndani ya fensi.
Thamani ya nyumba ni 50Mil. MKOPO nirejeshi Miaka 5 sio mbaya. Riba isizidi 20%.T
Thamani ya nyumba ni Sh.ngapi? huo mkopo umepanga kuurejesha kwa muda gani na riba yako ipoje?
Siwezi kuuza,maana ilipo ndio na Mimi nakaa nyumba ya uwani. Nauzaje sasa? Nina shida tu na hiyo pesaUnaiuza kijanja wewe
Hapana,siuzi nyumba. Ila Nina shida na mkpo wa Pesa tu.Unauza kupitia mlango wa nyuma?
Hata ukipata riba kwa miaka hiyo itazidi hiyo asilimiaThamani ya nyumba ni 50Mil. MKOPO nirejeshi Miaka 5 sio mbaya. Riba isizidi 20%.
Ushauri wako Sasa mkuu?Hata ukipata riba kwa miaka hiyo itazidi hiyo asilimia
Mkuu aina ya mkopo unaohitaji na utaratibu wa malipo ni heri uende bank tu...Au kuna changamoto gani mpaka hutaki kwenda bank?Ushauri wako Sasa mkuu?
Au tafuta ndugu yako au jamaa yako mtumishi wa Uma akukopee bank.Ushauri wako Sasa mkuu?
Bank wanataka Mpaka niwe Mfanyakazi za Serikalini.Mkuu aina ya mkopo unaohitaji na utaratibu wa malipo ni heri uende bank tu...Au kuna changamoto gani mpaka hutaki kwenda bank?
Hata ukipata r