Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Nenda ukafyatuliwe Malinda wazungu wenyewe wanakuja kachukua wewe unataka kule
 
Wazungu huwezi kuwapata.
Wewe ni mali yetu sisi wapenda chura na wenye midushe mikubwa.sahau wazungu
 
Wapi nitapata mpenzi wa kizungu wakuu?
Ni very easy

Kuna mtandao unaitwa tinder download then register

Huo ni mtandao special kwa real dating ambao origin yake ni uengereza

Humo wazungu wamejaa hasa hasa wenye pesa zao ambao hawafurahii ndoa zao na wanavyowatafta wanawake wa africa na wenye chura ni zaid ya watu wanaotafuta madini mererani
 
Kuna mzungu nimekutana naye soko kuu anakula yale makande ya kwenye ndoo sahani sh.700/=
Nitumie namba yako nimpe.
 
nina babu yangu hapa chuoni ni mzungu ila kazeeka,,vp upo tayar kuwa na huyu babu😎😎
 
Yaani madating sites yote yaliyopo bado unatuuliza utampata wapi? utakuwa unatania.
 
Daah mzungu mie nimesubiri long time.. hatimaye leo wazungu tumeletewa papa..
 
Back
Top Bottom