Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Wapi nitapata mpenzi mzungu?

Ila siwaaminingi wale Jamaa kwa Kweli.
Wanaweza wakakufanyisha sex kwa command na wakakugeuza Upande wa pili.
Pia story ya wazungu walomfanyizia mwanamke pamoja na mbwa.
 
Kumpata mzungu sio rahisi kivile, 1. Lazima usiwe na tabia ngumu, tabia zako ziwe zinaridhisha, 2. usimtafute mzungu kisa pesa ili upate mtaji au ujengewe nyumba kijijini kwenu au popote, 3. mzungu haangalii sura anaogopa sana kuibiwa. sasa sijui ni kitu gani ulichonacho ambacho utamridhisha mzungu mpaka umpate. Ila sister kama kuandika kutafuta mchumba umejaribu sana sana sana, mwenyezi Mungu akujalie umpate
 
Kuna fundi seremala hapa ni mzungu,nikupatie namba yake.
 
Ukipata unishtue na mm kulko niwe single mom na baba mweusi bora awe mzungu jamani! I love them deeply
 
Vigezo vya wazungu unavyo
1.uwe slim girl,wazungu na mibonge,sjui mitako,sjui guu la bia, mbal mbal..type za kina mange zile ndo wanadata
2.hawapend fekero...yaan,nywele fake,rang fake etc,hawapend
3.hawapend dem anaeonyesha kulia njaa

Ni hayo tu
Nyongeza ni wapakua vinyesi
 
Back
Top Bottom