Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume.

Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali.

Mgonjwa yupo Morogoro.
Mkuu to be honest matibabu ya Tez dume mgonjwa akifanyiwa upasuaji(surgery)anatakiwa akutane na Daktari bingwa(specialist)maana mishipa ya Tez ni midogo sana ikitokea akafanyiwa vibaya upasuaji mara nyingi inajirudia tena na ikisharud tena itabid afanyiwe upasuaji mara ya pili na akishafanyiwa mara ya pili inabadilika na kuwa saratani(cancer)
Kama upo Dar nakuomba unitafute nikuelekeze upate tiba itakayomtibu kabisa,huu ugonjwa ni hatari sana
 
Mkuu to be honest matibabu ya Tez dume mgonjwa akifanyiwa upasuaji(surgery)anatakiwa akutane na Daktari bingwa(specialist)maana mishipa ya Tez ni midogo sana ikitokea akafanyiwa vibaya upasuaji mara nyingi inajirudia tena na ikisharud tena itabid afanyiwe upasuaji mara ya pili na akishafanyiwa mara ya pili inabadilika na kuwa saratani(cancer)
Kama upo Dar nakuomba unitafute nikuelekeze upate tiba itakayomtibu kabisa,huu ugonjwa ni hatari sana
Sawa nakutafuta.
 
Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume.

Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali.

Mgonjwa yupo Morogoro.
poleni sana
Cha kwanza nikuweke sawa tezi dume si ugonjwa ,kila mwanaume lazima awe na tezi dume
ila ugonjwa kwa tezi dume ni hali 3

1.Tezi dume kutanuka (kujaa nyama)

2.Tezi dume kuvimba (kujaa maji au damu)

3.Kansa ya tezi dume

ukintumia vipimo nitajua anaangukia kipengele kipi. Kuna tezi dume huzuia mkojo kutoka na kuna tezi dume ya mkojo kutoka bila hiyari ya muhusika. Ntumie vipimo
 
Muhimbili nitaanzia kujaribu hapo maana private bima wanasumbua.
Mloganzila mzee hawezi kukubali kutokana na hearsays mitaani.

Hakuna dawa za kunywa, nimetibiwa tezi dume mwaka 2022!! Nilikunywa kila dawa naambiwa inatibu bila upasuaji na bado iliendelea kukua na kunitesa!!

Nenda Agha Khan wanatumia njia ya Sistoscopy haihitaji kupasuliwa kwa kuchana bali vifaa vinaingizwa kupitia tundu la mkojo!! Sijajua kwa huko kwingine

Afya ni gharama!!
 
Hakuna dawa za kunywa, nimetibiwa tezi dume mwaka 2022!! Nilikunywa kila dawa naambiwa inatibu bila upasuaji na bado iliendelea kukua na kunitesa!!

Nenda Agha Khan wanatumia njia ya Sistoscopy haihitaji kupasuliwa kwa kuchana bali vifaa vinaingizwa kupitia tundu la mkojo!! Sijajua kwa huko kwingine

Afya ni gharama!!
Gharama yake ipoje hii huduma kwa sasa?
 
Back
Top Bottom