aisee mi hela mingi sana [emoji15] je siwez kupata za mtumba au koti tu ntavaa na jeansHongera kwa dada yako kuolewa, vilevile msalimie sana. All tha best bro. Kuhusu suti sina uzoefu, mara ya mwisho mzee alininunulia ya 70k kwa ajili ya form 4 graduation......
Probably andaa above 250k
Haha utani wa ngumi tununu huoMkuu hiyo laki moja duuh,utashonewa koti tu tena lenye 8 buttons[emoji3] [emoji3] [emoji3] (joke)
Guania [emoji13] [emoji13] [emoji13]Utavaa Blauzi, suti ya laki moja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umezoa za kitaa za kugombea wali kwa sinia?sijawahi kuudhuria harusi ya ukumbin hii ndo first time mkuu
Hahaaaaaaaaaaa yani watu wana vituko humu..Mkuu hiyo laki moja duuh,utashonewa koti tu tena lenye 8 buttons[emoji3] [emoji3] [emoji3] (joke)
hahaaaaa, mkuuHahaaaaaaaaaaa yani watu wana vituko humu..
Dada uyooo anaolewa dada uyooo anaolewa, mahali ishatolewaaa...Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30
Amaa hakika warembo walipata tabu sana nilipata suit ya blue singo button kwa elfu80 tu,,,,,Mkuu Baraka, vipi harusi iliendaje na je ulifanikiwa kupata kasuit flani hivi kwa ile laki 1 yako?,tupe mrejesho basi na kapicha/tupicha ili tuone jinsi warembo walivyopata tabu sana siku hyooo
hongeraNlipata kwa 80k tu nzuri tu
Nipe location Mzee na mimi niende nikashone ya laki mbiliSasa hivi nakutumia hela uende kwa Sheria Ngowi ukashone suti world class
Wee ni Comedy mkuu. Sijui unafahamu hilo..Tushakula ubwabwa mzee mwenzangu saa iv anatumikia ndoa uko alipo
safi sana mkuu.hongera kwa kuwapa tabu wadada. naskia ulipendeza zaidi hata ya bwana harusi huhuuuAmaa hakika warembo walipata tabu sana nilipata suit ya blue singo button kwa elfu80 tu,,,,,
kabisa mkuu,,alfu nmegundua humu wengi washamba tu eti suit laki3 wakati elfu80 tu nmevaa freshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana mkuu.hongera kwa kuwapa tabu wadada. naskia ulipendeza zaidi hata ya bwana harusi huhuuu