Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivyo ndivyo nilivyofanya mkuu nimetoa suti kali tu kwa 80kHiyo hela unapata suti cha kufanya tafuta fundi mkali wa kitaani akupime ukanunue kitambaa mwenyewe tena cha ukweli maeneo ya clock tower Samora unampa fundi (akikisha awe mkali wa suti) kisha mpe akushonee kwa 50 tu
Hivi mkuu, unamaanisha hiyo 80,000/= ni pamoja na kitambaa+gharama za kushonea??. aisee kama ni hivyo basi bei rahisikabisa mkuu,,alfu nmegundua humu wengi washamba tu eti suit laki3 wakati elfu80 tu nmevaa freshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo washamba wanapenda kuonekana matawi. Laki moja unavaa suti yaani hilo siyo swali, ila kama unataka ukavae suti za sheria ngowi ndiyo utaona haitoshi.ivyo ndivyo nilivyofanya mkuu nimetoa suti kali tu kwa 80k
Mtumbani utapata usiwe mvivu wa kuchaguaHabari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30
HahahaUtavaa Blauzi, suti ya laki moja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli mkuu alichimba biti vibaya mnooooHalafu jamaa wakati anamfukuzia dadako si ajabu ulikuwa unamchimba biti
Zipo suit za 40000 tu unanipotea tatizo mikumbo.kabisa mkuu,,alfu nmegundua humu wengi washamba tu eti suit laki3 wakati elfu80 tu nmevaa freshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo Dom faza kuna duka jamaa angu anaitwa dula vitu vya uhakika kama unavyoniona mkuu.Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30
Kuna jamaa anashona kaunda kwa laki moja nzuri sanaHabari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani hivi cha kisasa ukumbi mzima washangaee na niweze kung'oa mademu kupitiia hiyo suti nitakayovaa.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni wapi nitapata suti kali kwa bajeti ya laki moja kuanzia juu hadi chini? Tupia picha ya suti kali kama unayo niweze kuangalia fashion..
NB: Mimi sijawahi kuvaa suti tangu nizaliwe ndo nataka nivae hyo tarehe 30
Hahahiiii!! Huyu mjaluo umekutana nae wapi?Njoo Dom faza kuna duka jamaa angu anaitwa dula vitu vya uhakika kama unavyoniona mkuu.View attachment 832133
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Alafu ukute jamaa wakati anamfatilia dada ako ulikua unammaindi, mimi ukinifanyia hivyo alafu kwenye harusi unajifanya unakata mauno ya kufa mtu, NAZIMA MZIKI.
Mkuu no yakeKuna jamaa anashona kaunda kwa laki moja nzuri sana