butron JF-Expert Member Joined Jun 3, 2013 Posts 5,640 Reaction score 7,943 Aug 11, 2018 #61 Mtafute waziri wa mambo ya ndani akupe muongozo.
M mwita ke mwita JF-Expert Member Joined Aug 13, 2010 Posts 7,922 Reaction score 3,618 Aug 11, 2018 #62 LABDA SURUALI NA KOTI , SUTI HUWEZI PATA KWA LAKI
Samwel Ngulinzira JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 1,829 Reaction score 1,972 Aug 11, 2018 #63 Kwa bajeti ya laki jaribu kuangalia maduka ya pembeni ya mji au maduka ya bei rahisi. Kama uko Arusha ntakuelekeza chimbo zinakopatikana za bei hiyo na chini ya hio.
Kwa bajeti ya laki jaribu kuangalia maduka ya pembeni ya mji au maduka ya bei rahisi. Kama uko Arusha ntakuelekeza chimbo zinakopatikana za bei hiyo na chini ya hio.