Wapi nitapata Tenda za kutengeneza samani (furniture)?

Wapi nitapata Tenda za kutengeneza samani (furniture)?

Nkonyaboy

New Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
4
Reaction score
0
Jamani, mimi ni mwanafunzi nimehitimu chuo ila naufundi wa furniture nilikuwa nahitaj msaada wa mawazo jinsi gani unaweza pata tenda sehemu mbalimbali mana naona soko ni gum kiasi chake kupitia ABC na uzoefu naweza kuimprove.
 
Jamani, mimi ni Mwanafunzi nimehitimu chuo ila naufundi wa furniture nilikuwa nahitaj msaada wa mawazo jinsi gani unaweza pata tenda sehemu mbalimbali mana naona soko ni gum kiasi chake kupitia ABC na uzoefu naweza kuimprove.
Tengeneza benchi nje ya nyumbani kwako uwe na randa pamoja na nyundo tu watu watakufuata wenyewe uwatengenezee milango na makabati
 
Jamani, mimi ni Mwanafunzi nimehitimu chuo ila naufundi wa furniture nilikuwa nahitaj msaada wa mawazo jinsi gani unaweza pata tenda sehemu mbalimbali mana naona soko ni gum kiasi chake kupitia ABC na uzoefu naweza kuimprove.
Unajua kutengeneza mizinga ya nyuki?
 
Back
Top Bottom