Ni kweli ndio maana vya kukaa sijawahi kuvielewa kwa kweliChoo cha kukaa kama wakati wa kujisafisha inakuwaga mtihani sana kupitisha maji.
Hili hata mimi nimewazaKwani vijijini KWENYE vyoo vya kulenga hamnaga wagonjwa?
Utakuja kufa mkuu, vinafyatukaga vile[emoji4]sipendi cha kukaa, gogo halitoki vizuri
hua naweka miguu juu pale nachuchumaa nakunya mustarehe kabisa
...haha sifanyagi ivyo bana, alaf vikifyatuka vinakuchana rectum vizuri kabisaUtakuja kufa mkuu, vinafyatukaga vile[emoji4]
Vinakera Sana[emoji4]...haha sifanyagi ivyo bana, alaf vikifyatuka vinakuchana rectum vizuri kabisa
Tunafanana[emoji4]Ni kweli ndio maana vya kukaa sijawahi kuvielewa kwa kweli
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Vijana wanajivika Sana uzungu feki.
Niko nawaangalia Wana jf wanavyotembea na mabaki yao ya mavi tu kwny nguo zao kisa vyoo vya kuchuchumaa.Vinakera Sana[emoji4]
Afu Kuna kitu madau mmoja kauliza
"Choo Cha kukaa, Unajisafishaje na maj?"
Naona watu wanademka TU humu, hawatak kulijibu Hilo swali[emoji4]
Babe....
Nataka kuweka vyoo, naomba ushauri wapi niweke vya kukaa na wapi niweke vya kuchuchumaa kwenye vyumba vifuatavyo
1. Public toilet
2. Watoto
3. Master
Naomba na sababu?
Mkuu weka vyote vya kuchuchumaa TU achana cha kukaa. Unakaa ugundue nini[emoji2]
Na ule ubaridi mwanaume una relax vipi pale [emoji3]. suala la maji kukurukia n changamoto labda ujaze tissue mle ndani, hivo vyoo vya kukaa n chanzo cha maambukizi ya magonjwa. hasa U.T.I
Binafsi choo cha kukaa sikipendi kabisa n mateso mno kukitumia [emoji1666].
Hahaha fala sana we jamaa hahahaUnapo chuchumaa ngozi ya kitobo kina tanuka sana, na unajikuta unatumia nguvu kubwa kusumuma kiwele.
Kumbuka ukiwa umechuchumaa nisawa na ukiwa umegonoka alafu unatanuliwa....
Tofauti kubwa ukiwa umekaa na hata ngozi inakua ime relax hata unaweza ukawa una fanya koment hapa FJ.
Mkuu, wataala wanajua namna nzuri ya kuisema hii kitu, mie mwisho nitatukana kwenye maandishi bureeeee
mm nimeshawahi kupanda na kuchuchumaa kabisa...cha kukaa ni chakiwaki kinyama..Mimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho choo😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Choo cha kukaa kama wakati wa kujisafisha inakuwaga mtihani sana kupitisha maji.
Familia kubwa kwani mko 50?? Nyumbani usafi ni rahisi kufuatiliwaNitaangaliwa nini kifanyike kwa wakati huo..
Umewahi kufikiri choo cha kukaa Kiwe Public inavyokuwa?hasa kwenye familia kubwa?
BTW Mimi binafsi napendelea zaidi choo cha kuchuchumaa kuliko cha kukaa..
Sent using Jamii Forums mobile app