hi wana J.f.
Nimeajiriwa mahala fulani, lakini hadi sasa napokea kwa kutumia bahasha. Nimeanzisha biashara yangu kwa mwezi mmoja sasa ninahitaji mkopo kwa ajili ya kupanua biashara yangu. baada ya survey, sehemu karibu zote walihitaji biashara iliyoanzishwa miezi sita ilopita au salary slip. wanajamii naomba njia itakayonisaidia kupata milion moja na nusu.
Nimeajiriwa mahala fulani, lakini hadi sasa napokea kwa kutumia bahasha. Nimeanzisha biashara yangu kwa mwezi mmoja sasa ninahitaji mkopo kwa ajili ya kupanua biashara yangu. baada ya survey, sehemu karibu zote walihitaji biashara iliyoanzishwa miezi sita ilopita au salary slip. wanajamii naomba njia itakayonisaidia kupata milion moja na nusu.