Wapi Nurueli?

Wapi Nurueli?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Namkumbuka Nurueli katika kibao chake cha awali sana cha Mng'aro wa silva. Ule wimbo hadi kesho ni classic. Nikamsikia tena katika wimbo wa kilio, akimlilia baba yake. Nikaja tena kumsikia akiwa na B Band akivunja aya moja kwa umakini na umahiri wa hali ya juu. Nzela mimi jirani yako...

Mara nikasikia mshkaji teja, sijui kama hizi tuhuma zilikiwa na ukweli. Kabla ya hapo niliwahi kumwona EA TV nadhani kipindi cha planet bongo ya Salama enzi hizo. Jamaa alikuwa akizungumzia mrejeo wake nikasema, yap! Juu ya nini watu kama hawa kupotezwa katika fani? Come back and come again man. Jamaa anapendezea kuwa solo pia maana anajiweza.
 
Namkumbuka Nurueli katika kibao chake cha awali sana cha Mng'aro wa silva. Ule wimbo hadi kesho ni classic. Nikamsikia tena katika wimbo wa kilio, akimlilia baba yake. Nikaja tena kumsikia akiwa na B Band akivunja aya moja kwa umakini na umahiri wa hali ya juu. Nzela mimi jirani yako...

Mara nikasikia mshkaji teja, sijui kama hizi tuhuma zilikiwa na ukweli. Kabla ya hapo niliwahi kumwona EA TV nadhani kipindi cha planet bongo ya Salama enzi hizo. Jamaa alikuwa akizungumzia mrejeo wake nikasema, yap! Juu ya nini watu kama hawa kupotezwa katika fani? Come back and come again man. Jamaa anapendezea kuwa solo pia maana anajiweza.


Dah! Jamaa me na mkubali sana, hapa kwenyewe nilikuwa na googled wimbo wake wa mng'aro wa silver nikakutana na thread hii. Katika wasanii wenye sauti nzuri na wanaojua kuzitumia na huyu jamaa, japo amefulia ila ukimsikiliza kwenye wimbo wa usikate tamaa ya kala Jeremiah utakubali bado yupo vizuri
 
Tupo wengi tunaomkubali sema gemu gumu vipaji sio tena dili, dili ni kuwa na connection.....Jamaa anakomaa na gemu kuna wimbo mpya wa Kala jeremia ameimba kiitikio....wewe jiulize hivi Nuh Mziwanda anaimba nini hadi apate shows na air time ya kutosha?
 
Namkumbuka Nurueli katika kibao chake cha awali sana cha Mng'aro wa silva. Ule wimbo hadi kesho ni classic. Nikamsikia tena katika wimbo wa kilio, akimlilia baba yake. Nikaja tena kumsikia akiwa na B Band akivunja aya moja kwa umakini na umahiri wa hali ya juu. Nzela mimi jirani yako...

Mara nikasikia mshkaji teja, sijui kama hizi tuhuma zilikiwa na ukweli. Kabla ya hapo niliwahi kumwona EA TV nadhani kipindi cha planet bongo ya Salama enzi hizo. Jamaa alikuwa akizungumzia mrejeo wake nikasema, yap! Juu ya nini watu kama hawa kupotezwa katika fani? Come back and come again man. Jamaa anapendezea kuwa solo pia maana anajiweza.

Nurueli si teja na yuko anafanya muziki wa live na banana...ukitaka kuenjoy kila ijumaa nenda east 24 utamkuta yy na banana wakikonga myoyo..uwezo wake uko pale pale!
 
Watu kama Nurueli si wa kuishia kwenye show za mahotelini. Sema ndio hivyo industry ya muziki TZ ina ugumu wake
 
Tupo wengi tunaomkubali sema gemu gumu vipaji sio tena dili, dili ni kuwa na connection.....Jamaa anakomaa na gemu kuna wimbo mpya wa Kala jeremia ameimba kiitikio....wewe jiulize hivi Nuh Mziwanda anaimba nini hadi apate shows na air time ya kutosha?
mtu anayejua kuitumia sauti ni diamond huyu jamaa anavoco nzuri lakini me naweza sema ajitambui kuwa anaweza kufanya makubwa
 
Back
Top Bottom