Wapi pazuri kuishi baada ya kustaafu?

Duniani hakuna kustaafu sema ni kubadilisha majukumu tu kutokana na umri wa kisheria.Bado majukumu na wajibu viko palepale na kama hakujiandalia hazina ya miradi ya kuendesha maisha yake basi hela yake ya kinua mgongo itaisha ndani ya miaka 5 na badae ni kifo .
 
Aende kijijini akalime na kufuga ila kama ana mke sijui kama atakubali maana wana wake wingi hawakubali kuondoka mjini.
 
Wamasai wameenda kustafishwa Handeni, walipofikishwa tu wakasema tuhamie sehemu tusipochangamana na wabantu. Ndo nakubaliana kwamba pa kustafia ni vizuri ukajua ikolojia yake mapema.
 
...Hata wewe umetoa Facts Zilizokwenda Shule. Pongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…