Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Aende kijijini akalime na kufuga ila kama ana mke sijui kama atakubali maana wana wake wingi hawakubali kuondoka mjini.Wakuu kuna jamaa yangu anaelekea kustaafu kanitaka ushauri kuhusu sehem sahihi ya kuishi baada ya kustaafu kazi kati ya mjini na kijijini aende wapi akamalizie maisha yake ya ustaafu.
Yeye alikulia bushi ila baadae alienda kufanya maisha town kwa kitambo kirefu sana na saivi anaelekea kustaafu.
...Hata wewe umetoa Facts Zilizokwenda Shule. PongeziKustaafu siyo kufukuzwa, hivyo pa kuishi baada ya kustaafu panatakiwa kuandaliwa mapema.
Na hakuna formula kwamba wapi panafaa, kijijini ama mjini, isipokuwa ni mahali ulipojiandalia wewe mwenyewe, kiuwekezaji na kisaikolojia.
Mahali pa kuambiwa na mtu kwamba mahali fulani ni pazuri kutokana aidha na hali ya hewa ama mazingira flani ya kupendeza anavyo paona yeye bila wewe kuwa na uzoefu ama mazoea napo ni kiama.
Angalia comment # 2 katoa fact za kushiba.
Ndo maana nkasema niwe msomajiila usisahau kijana wa leo ndo mstaafu wa kesho