HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 878
Kama ni mtu unayependa kufanya mazoezi nenda jeshini. Kwa level yako ya elimu, baada ya mafunzo utaenda cadet na kurudi na jiwe moja. Baada ya miezi sita unapigwa jiwe la pili. Hautakuwa sawa na wenye VUMILIA VUMILIA VUMBI (V moja mpaka tatu). Kula bata jeshini mwana.