Wapi Prof.J na Lady J.Dee siku ya muungano? Au hawa si legends wa bongo music?

waache wafanye kazi zao,sherehe za nini wao......
 
Tht?runge?wezi walioshindikana wanaojificha kwenye kivuli cha ccm
 
Jide alikuwa Nyumbani Lounge anafanya mazoezi na Machozi Band.
 
Jay yuko bize kutibu ugonjwa wake sugu, jide yuko bize kutafuta mimba si unajua ni mwaka wa 39 sasa anaitafuta? Wote wana stress hao

Wewe ngoma mpya ya jay kipi sijasikia inakuhusu sana.
 

Asilimia mia nakubaliana nawe wasanii wetu wana fikra tegemezi na hali hii imegeuka fursa kwa akina ruge as wasanii wamekubali kuwa hawawezi bila ruge. Lakini ruge pia amejigeuza Mungu thats why wengi walioamka kifikra kuwa wanaweza simama bila yeye anawatengenezea mizengwe kibao kupitia media.
 
tatizo wasanii weng tegemezi no creativity Ruge anawatumia kujineemesha wao umaskin pale pale hafu nyimbo yenyewe waliyoimba haikupangiliwa labda ya helo Tanzania
 
Ruge kapiga mpunga wa kutosha kwenye huu wimbo wa hellow Tanzania!!

Jay na Jide wanajitambua hawawezi enda kufanya ujinga wa kuungua jua kali pale taifa zeni,account ya ruge iweze kuadd zero za kutosha mbele
 
hapo wasanii wangapi wanatokea znz ili niamini ni muungano
 
At
Kopa
Baby J
Wote wazanzibar hao unalingne mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Mkuu kumbuka hujafa hujaumbika njaa zako zisikufanye hata ubongo uwe mweupe
Jay yuko bize kutibu ugonjwa wake sugu, jide yuko bize kutafuta mimba si unajua ni mwaka wa 39 sasa anaitafuta? Wote wana stress hao
 
Jay yuko bize kutibu ugonjwa wake sugu, jide yuko bize kutafuta mimba si unajua ni mwaka wa 39 sasa anaitafuta? Wote wana stress hao

Jay kasema waliosema anangoma wengi wamezikwa lakini yeye bado anadunda .

Kipi sijasikia hata nikinywa maji mnatangaza nimekunywa Pombe.
 
Jay kasema waliosema anangoma wengi wamezikwa lakini yeye bado anadunda .

Kipi sijasikia hata nikinywa maji mnatangaza nimekunywa Pombe.

Ndo akili za kuambiwa uchanganye na zako. Angesema nimepima ngoma na nimejikuta niko salama hapo angeeleweka vzr sana lkn eti bado nadunda??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…