Wapi Sebastian Mwanangulo...

Saguda47

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
11,258
Reaction score
20,386
Habari zenu wakuu,
Kama ilivyo katika kichwa cha habari hapo juu, kama wewe ni mmoja ya wapenzi/watazamaji wa filamu za ngumi, basi kwa upande wa bongo huwezi kumwacha nguli huyo mwenye uwezo mzuri katika kick box, naye si mwingine ni SEBASTIAN MWANANGULO. Kwa miaka ya nyuma hapo aliweza kucheza vizuri sana katika filamu kama:-
1 . lazima ufe joram
2. Misukosuko chini ya jplus
3. Inspector Seba n.k
Swali je kwa sasa yuko wapi? Na je huyu jamaa anatoka mkoa gani? Tujuzane wakuu.

Seba akiwa na Jimmy mponda(jplus)
 
Ahaaa jamani, anakunywa mbege na kucheza movie zote hizo bado hajajikwamua tu
 
Sielewi mkuu Ila nashamgaa watu wamechukulia mbege kama kinywaji cha chini. Sana wakati sisi wengine ndo asili yetu
Ahaaa kumbe we mangi, safi sana, mbege sio tatzo mkuu, iko poa tu kwa sana.
 
Hata hivyo hakua mtu wa ngumi sema promo zilimbeba sana!
Mwache aji"twangishe" kwa raha zake!
Duh! Lakini yuko poa kwenye mkono, sema tu hapa bongo movie hazilipi kiivo
 
Ok sawa mkuu, vipi wanawake wa kichaga wanafaa kuweka ndani?
Mwanamke yeyote regardless of her ethnic background, anafaa kuweka ndani as long as anakidhi vigezo vya kua mwanamke wa kuweka ndani. Siku hizi mkuu yaan makabila hayamati kivile maana hata Yale makabila ambayo yanaonekana watu wanaojiheshimu siku hizi wapo ambao wamevurugwa among them. La msingi ni kumwomba tu Mungu mkuu hili upate Mke mwema!
 
Duh! Lakini yuko poa kwenye mkono, sema tu hapa bongo movie hazilipi kiivo
Zingeuza kama wangekuwa serious kama Jplus!
Tatizo wana act movie na kujiona as if they are fully known everywhere kumbe hata ilihitaji kutoka nje ya box!!
Tangu lini boxer anaruhusu kutupiwa ngumi kizembe kama jinsi alivyodanganywa seba kwenye movie yake na jplus?!
 
Sema kwa muonekano tu Jimmy anajielewa yuko serious na michongo yake kuliko seba, ndo maana seba akicheza movie haitikisi kama za jplus japo na yeye siku hizi kadorola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…