Wapi Sebastian Mwanangulo...

Wapi Sebastian Mwanangulo...

Mwanamke yeyote regardless of her ethnic background, anafaa kuweka ndani as long as anakidhi vigezo vya kua mwanamke wa kuweka ndani. Siku hizi mkuu yaan makabila hayamati kivile maana hata Yale makabila ambayo yanaonekana watu wanaojiheshimu siku hizi wapo ambao wamevurugwa among them. La msingi ni kumwomba tu Mungu mkuu hili upate Mke mwema!
Huo mtihani ila ni rahisi sana kama Mungu atachukua nafasi
 
Mwanamke yeyote regardless of her ethnic background, anafaa kuweka ndani as long as anakidhi vigezo vya kua mwanamke wa kuweka ndani. Siku hizi mkuu yaan makabila hayamati kivile maana hata Yale makabila ambayo yanaonekana watu wanaojiheshimu siku hizi wapo ambao wamevurugwa among them. La msingi ni kumwomba tu Mungu mkuu hili upate Mke mwema!
Mkuu siku ukitaka mke mwema niambie nikuletee mke mzuri msukuma mwenye adabu na mchapakazi siyo hawa wachagga wabnafsi!
 
Sema kwa muonekano tu Jimmy anajielewa yuko serious na michongo yake kuliko seba, ndo maana seba akicheza movie haitikisi kama za jplus japo na yeye siku hizi kadorola
Mkuu tatizo lao hawaendani na huu muda tulio nao!
Jplus alifaa kuendelea na movie za conspirancy sema alivoona uswazi kachuja akaamua kujizamisha!!
 
Mkuu siku ukitaka mke mwema niambie nikuletee mke mzuri msukuma mwenye adabu na mchapakazi siyo hawa wachagga wabnafsi!
Wasukuma wa pande zipi wako poa mkuu
 
Back
Top Bottom