Mkuu nilimaanisha kwamba seba ni mzaliwa wa nje dhidi ya uelewa wa watani zangu Wachagga!Tehetehe kumbe mtoto,
Huo mtihani ila ni rahisi sana kama Mungu atachukua nafasiMwanamke yeyote regardless of her ethnic background, anafaa kuweka ndani as long as anakidhi vigezo vya kua mwanamke wa kuweka ndani. Siku hizi mkuu yaan makabila hayamati kivile maana hata Yale makabila ambayo yanaonekana watu wanaojiheshimu siku hizi wapo ambao wamevurugwa among them. La msingi ni kumwomba tu Mungu mkuu hili upate Mke mwema!
Mkuu siku ukitaka mke mwema niambie nikuletee mke mzuri msukuma mwenye adabu na mchapakazi siyo hawa wachagga wabnafsi!Mwanamke yeyote regardless of her ethnic background, anafaa kuweka ndani as long as anakidhi vigezo vya kua mwanamke wa kuweka ndani. Siku hizi mkuu yaan makabila hayamati kivile maana hata Yale makabila ambayo yanaonekana watu wanaojiheshimu siku hizi wapo ambao wamevurugwa among them. La msingi ni kumwomba tu Mungu mkuu hili upate Mke mwema!
Mkuu tatizo lao hawaendani na huu muda tulio nao!Sema kwa muonekano tu Jimmy anajielewa yuko serious na michongo yake kuliko seba, ndo maana seba akicheza movie haitikisi kama za jplus japo na yeye siku hizi kadorola
Mkuu Mimi mwenyewe upande wa baba natokea Magu nyagugeMkuu siku ukitaka mke mwema niambie nikuletee mke mzuri msukuma mwenye adabu na mchapakazi siyo hawa wachagga wabnafsi!
I know mkuuWorry out mkuu, kauatani labda