Wapi selection wizara ya afya??? Kwanini mliongopa kwenye form zenu?

Wapi selection wizara ya afya??? Kwanini mliongopa kwenye form zenu?

GENERARY

Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
95
Reaction score
17
Leo ni tarehe ambayo wizara ya afya walipanga kuanza muhula kwa kozi za Certificate na Diploma kwa mujibu wa form zao za application. cha kushangaza mpaka sasa hata hizo selection zenyewe hazijatoka. kwali tangazo hilo lilitoka ndani ya wizara au mtu binafsi, alijikalia na kupanga mwenyewe? kwanini hakuna hata tangazo lolote kwenye web yao kuonyesha mabadiliko hayo. nimechukia! kumbe ndiyo maana hamna msimamo eeee
 
Tuzidi kujipa moyo ila tunaomba watende haki kwa kuzingatia qulification walizoziandika kwenye fomu
 
mie nasikia kuna fununu kuwa matokeo yanatoka kesho 2subir tuone.
 
Back
Top Bottom