Wapi tunaelekea kimaisha

Wapi tunaelekea kimaisha

Rcrusso Jr

Senior Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
184
Reaction score
421
Habari ndugu mwanajamvi wa JF,..matumaini tu wazima na tunaendelea kuhangaika katika kutafuta mkate wetu wa kila siku (japo tuliomba atupe ila kumbe sio kupewa ni kuutafuta kwa nguvu nyingi jasho na hata damu)

Back to the topic, (Tatizo ni wananchi au wenye nchi???) Na je ni nani mwenye nchi kati ya mwananchi na Raia??

Juzi tu hapa kabla ya kijiti kuhama na mwendazake kutangulizwa mbele ya haki (Anaetumiliki ajua amaliza vipi siku zetu) maisha walau yalikuwa na nafuu kwa kipato tunachokipata... Mana hakijaongezeka kipo palepale lakini gharama ya maisha imekuwa kwa almost 200% ..

Vitu vyote bei juu (huku tunafanyiana maigizo kama yale ya discount za kwenye super market, unapandisha kwa 2,000 shwaaaaa halafu unapunguza 500 vuuuuu basi utaskia bei zimeshuka...

Tufikirie na tupeane mawazo hapa na mtazamo kama hutajali kwa wapi tunaelekea... Tazama :

1. Bei za vyakula... Mchele sasa mpaka 4,000 wakati ni juzi tu ulikuwa 1,400 mpaka 2,800 (vipi Bashe)

2. Masuala mazima ya hata internet (Gb 1.ilikuwa ni 600 lakini sasa hivi ni 2,000 na bado ile Cost/second imepandishwa .. Gb 1 nusu saa kubwa kwa simu na hapo una surf tu. (Nape huyo)

3. Kodi...kila mahali tunapigwa kodi kubwa mpaka kuna muda maamuzi tu ya kuset bei za bidhaa tunaona aibu.. Sawa bila kodi serikali haiendi ila hizi za kujaza mifuko ya watu ndio tatizo.. mzigo mzima wa kodi unakuangukia wewe mwananchi jua hilo jiongeze... Mfanyabiashara ye ikipanda anaitia kwa bei anakutupia wewe.. TII ARA EI

4. Nauli... nauliz juu hata 1000 nilokua naenda mihangaikoni na kurudi nkipata na maji ya kandoro mawili sahivi hola ..nkizubaa hata kufika uwanjani na hiyo 1000 nakwama... Asee.. Japoafuta wamecheza vile wanavyochezaga... 1000 kwa 100

Hivi ni vichache mno, ila kila mahali ni pamoto pamepanda sijawataja ndugu zangu ...(beer ,sigara na yale maji makali wote wepandishiwa.. hadi light beer zimepanfa sio 1500 tena ni 1800 bei za mtaani.. sigara 300 sio 150 tena.. tabu ipo..

Je tutaweza kumudu maisha sisi wa hali ya chini baada ya miaka michache ijayo?? Unapaonaje mbele? Tufanye nini shiriki mtazamo wako..hapa .

RobbinSon Crusso.
Shukrani.
 
Habari ndugu mwanajamvi wa JF,..matumaini tu wazima na tunaendelea kuhangaika katika kutafuta mkate wetu wa kila siku (japo tuliomba atupe ila kumbe sio kupewa ni kuutafuta kwa nguvu nyingi jasho na hata damu)

Back to the topic, (Tatizo ni wananchi au wenye nchi???) Na je ni nani mwenye nchi kati ya mwananchi na Raia??

Juzi tu hapa kabla ya kijiti kuhama na mwendazake kutangulizwa mbele ya haki (Anaetumiliki ajua amaliza vipi siku zetu) maisha walau yalikuwa na nafuu kwa kipato tunachokipata... Mana hakijaongezeka kipo palepale lakini gharama ya maisha imekuwa kwa almost 200% ..

Vitu vyote bei juu (huku tunafanyiana maigizo kama yale ya discount za kwenye super market, unapandisha kwa 2,000 shwaaaaa halafu unapunguza 500 vuuuuu basi utaskia bei zimeshuka...

Tufikirie na tupeane mawazo hapa na mtazamo kama hutajali kwa wapi tunaelekea... Tazama :

1. Bei za vyakula... Mchele sasa mpaka 4,000 wakati ni juzi tu ulikuwa 1,400 mpaka 2,800 (vipi Bashe)

2. Masuala mazima ya hata internet (Gb 1.ilikuwa ni 600 lakini sasa hivi ni 2,000 na bado ile Cost/second imepandishwa .. Gb 1 nusu saa kubwa kwa simu na hapo una surf tu. (Nape huyo)

3. Kodi...kila mahali tunapigwa kodi kubwa mpaka kuna muda maamuzi tu ya kuset bei za bidhaa tunaona aibu.. Sawa bila kodi serikali haiendi ila hizi za kujaza mifuko ya watu ndio tatizo.. mzigo mzima wa kodi unakuangukia wewe mwananchi jua hilo jiongeze... Mfanyabiashara ye ikipanda anaitia kwa bei anakutupia wewe.. TII ARA EI

4. Nauli... nauliz juu hata 1000 nilokua naenda mihangaikoni na kurudi nkipata na maji ya kandoro mawili sahivi hola ..nkizubaa hata kufika uwanjani na hiyo 1000 nakwama... Asee.. Japoafuta wamecheza vile wanavyochezaga... 1000 kwa 100

Hivi ni vichache mno, ila kila mahali ni pamoto pamepanda sijawataja ndugu zangu ...(beer ,sigara na yale maji makali wote wepandishiwa.. hadi light beer zimepanfa sio 1500 tena ni 1800 bei za mtaani.. sigara 300 sio 150 tena.. tabu ipo..

Je tutaweza kumudu maisha sisi wa hali ya chini baada ya miaka michache ijayo?? Unapaonaje mbele? Tufanye nini shiriki mtazamo wako..hapa .

RobbinSon Crusso.
Shukrani.
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
Back
Top Bottom