muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Nahitaji pikipiki aina ya Honda XL/R au yoyote imara walau yenye CC 250.
Sipendi pikipiki ambazo zipo kama za mashidano (kifua kinakaa kwenye tank).
Kumvua mtu poa ila engine isiwe imeguswa hata kidogo na mafundi. Budget 4 Mil.
Sipendi pikipiki ambazo zipo kama za mashidano (kifua kinakaa kwenye tank).
Kumvua mtu poa ila engine isiwe imeguswa hata kidogo na mafundi. Budget 4 Mil.