Wapi Wanauza Asali Ya Nyuki Wadogo (Dar)

Wapi Wanauza Asali Ya Nyuki Wadogo (Dar)

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,828
Mi mtumiaji mdogo nahitaji si c zaid ya lita 2, vizuri iwe mbichi tena hisiyochakachuliwa....Je naweza pata Wapi Jamani?
 
Kama unatoka kariakoo kwenda TAZARA kabla yakufika kwenye MAKUTANO ya Kwenda Chang'ombe hapo kati ndo kuna hicho kituo cha Darajani kuna JENGO la GHOROFA MBILI Rangi ya KAROTI na VIOO vya kijani ndo WIZARA ya MALI Asili na Utalii ilipo! kila la heri ndg!
 
Mi mtumiaji mdogo nahitaji si c zaid ya lita 2, vizuri iwe mbichi tena hisiyochakachuliwa....Je naweza pata Wapi Jamani?
mkuu mimi ni mfanyabiashara wa asali,asali zangu zinaitwa HONEY SPRING unaweza tembelea page yangu kujionea zaidi ni facebook.com/honeyspring12
namba zangu za simu ni 0683370065 na 0769129351 ukihitaji tunakuletea mpaka mlangoni kwako bila usumbufu.
karibu
 
Mi mtumiaji mdogo nahitaji si c zaid ya lita 2, vizuri iwe mbichi tena hisiyochakachuliwa....Je naweza pata Wapi Jamani?
na hizo ndio package zetu kuanzia nyuki wakubwa hadi wadogo
BEI
NYUKI WADOGO
LITA 1-35000
NUSU LITA-20000
350ML-15000

NYUKI WAKUBWA
LITA 1-12000
LITA 5-55000

Tunakuletea mpaka ulipo
 

Attachments

  • IMG_31066981764212.jpeg
    IMG_31066981764212.jpeg
    69.4 KB · Views: 113
Kama unatoka kariakoo kwenda TAZARA kabla yakufika kwenye MAKUTANO ya Kwenda Chang'ombe hapo kati ndo kuna hicho kituo cha Darajani kuna JENGO la GHOROFA MBILI Rangi ya KAROTI na VIOO vya kijani ndo WIZARA ya MALI Asili na Utalii ilipo! kila la heri ndg!
shukran mkuu
 
Back
Top Bottom