Wapi wanauza Spares original za Mercedes?

😂😂😂 Kanjibahi akitaja bei hapunguzi, kuna spear wanajua wanazo wao tu. Utazunguka mwisho utarudi utamkuta anakula tambuu na kubeli
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kanjibahi akitaja bei hapunguzi, kuna spear wanajua wanazo wao tu. Utazunguka mwisho utarudi utamkuta anakula tambuu na kubeli

Hawa jamaa wanadharau sana [emoji23][emoji23], ukishakuwa Monopoly wa bidhaa fulani wateja watakuja wenyewe[emoji23].

JF bigup sana kuna watu humu ndani ni mafundi, juzi kati hapa Premio yangu ilikuwa inasumbua AC kuna watu walinielekeza na Imepona[emoji1544][emoji1544]
 

Na Subaru mkuu unaweza nipa chimbo?
 
Pongezi Kwa Chama Cha Mapinduzi
 
Yes mtaa Libya......kila kituuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…