Wapi wataonesha Fainali ya Ufaransa dhidi ya Argentina kwenye 'screen' kubwa?

Wapi wataonesha Fainali ya Ufaransa dhidi ya Argentina kwenye 'screen' kubwa?

Bata Boy Official

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
259
Reaction score
309
Wakuu mwaka jana sjui juziii(sikumbuki vizuri) watu wa Heineken waliweka big screen pale kigamboni kuonyesha fainali ya UEFA Champions League.

Vipi mwaka huu hakuna sehemu watakayoweka big screen? Maana experience yake huwa ni nzuri saaaana, kuna muda kutokana na mashabiki wengi unahisi kama upo uwanjani kabisa.

Kwa anayefahamu sehemu watakayoonyesha kwenye big screen plzzz tujulishe (maana kuna wengi pia watajua kupitia huu uzi).

Shukurani.

By the way Ufaransa anashindaaaa.
 
Naskia ni maeneo ya kunduchi apo mzee kuna mwamba nlimskia anasema wataweka
 
Kuna Hali ya hatari ebu kaa kwako nunua Konyagi kubwa uangalizie mpira kwako
 
Back
Top Bottom