Wapi zilipo Ofisi za kuuza magari za cheki.co.tz

Wapi zilipo Ofisi za kuuza magari za cheki.co.tz

Fagio2

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
242
Reaction score
59
Naomba kwenye kujua zilipo Ofisi au warehouse ya kuuza magari (used cars) za cheki.co.tz. Wanatangaza kwa Kiswahili Katika website Yao lakini hawajaweka contact details wala mahali walipo.
 
naona wenye data wamechunia, nahisi hao wandugu ni madalali wanaomiliki website tu na sio yard.
 
Naomba kwenye kujua zilipo Ofisi au warehouse ya kuuza magari (used cars) za cheki.co.tz. Wanatangaza kwa Kiswahili Katika website Yao lakini hawajaweka contact details wala mahali walipo.


Tupo Victoria, GEPF house ghorofa ya nne, pia waweza tupata kupitia 0689 548 000, info@cheki.co.tz. Karibu sana
 
Check hawana magari, but ni mtandao WA kutangaza magari ya makampuni na showrooms tofauti tofauti, iwapo wahitaji Gari, fika offisini quality center, almaarufu kama uchumi supermarket, ulizia offisi za autocom Japan used car exporters, na ulizia msuya, au check www.autocj.co.jp
Tuma email to tanzania@autocj.co.jp or call/whatssap 0767328063
 

Attachments

  • 1438329255551.jpg
    1438329255551.jpg
    59.8 KB · Views: 190
Naomba kwenye kujua zilipo Ofisi au warehouse ya kuuza magari (used cars) za cheki.co.tz. Wanatangaza kwa Kiswahili Katika website Yao lakini hawajaweka contact details wala mahali walipo.


Ninazo za kutosha na bei poa kabisa angalia hzi baadhi tu call 0718849462
 

Attachments

  • 1438329517265.jpg
    1438329517265.jpg
    57.1 KB · Views: 175
Mbona na gali yangu iko Hapo? mnapiga picha na magali ya watu yakiwa parking, ngoja nimtafute sijui ataniambia nini.
 
Naungana na wewe, check hawana yard Tanzania, ILA wanatangaza magari ya yard mbalimbali. Ukitaka kuamini fatilia kununua gari lililokwisha lipiwa ushuru, wauzaji ni wengi. Ni kama vile mtandao wa kaymu, hauna duka Bali unatangaza bidhaa za maduka mbali mbali. Labda kwa Kenya, maana wakati Fulani nilitaka kulipia gari wanayoandika ready to be imported nikajibiwa aidha nilipe Kenya au Japan, nikawambia mbona taratibu zenu za manunuzi "buying safe tips" mnatwambia tusitume pesa overseas, mtaniambiaje nitume Kenya au japan, wakanijibu haya magari yako japan, Kenya ni kama utataka ulipie check, japan unatuma kwetu moja kwa moja.

hivyo aliyejitambulisha hapo juu kama check Nina mashaka nae, ndo maana hata picha kaweka za magari ya watu zilizopigwa majumbani sehemu mbalimbali, yard gani ina gari lishasajiliwa na kila gari liko mazingira tofauti? Tafakariiiiiiii!!!!!
 
.Cheki.co.tz ni tovuti inayowaunganisha wauzaji na wanunuzi wa magari nchini Tanzania. Cheki ipo katika nchi zaidi ya kumi barani Africa na katika mwaka mmoja iliyofanya kazi nchini Tanzania imepata uitikio mzuri kwa wauzaji na wanunuzi wa magari. Cheki inafanya kazi wauzaji wa magari katika mikoa Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha na Zanzibar na wauzaji wa magari.


TUNAFANYAJE KAZI?
Mteja anayetafuta gari, akiingia kwenye ukurasa wa cheki.co.tz, anatafuta gari, akiipata anajaza fomu inayotoa maelezo yake, fomu hiyo inaenda kwa muuzaji na kumpa taarifa kwamba mteja anatafuta gari na mawasiliano yake yanakuwepo, hivyo muuzaji anawasiliana na mteja moja kwa moja.
cheki.co.tz haihusiki na upangaji wa bei wala kupokea pesa za wateja.
Ofisi zetu zipo GEPF house floor ya nne. Tuna tangaza magari ya wauzajimbali mbali wakiwepo 1. Dealers 2. Watu binafsi 3. Madalali 4.Wauzaji wa magari kutoka Japan.
 
Habari,
aliyeposti hayo magari hapo ju sio cheki.co.tz, wala hana uhusiano wowote na kampuni ya Cheki Tanzania LTD ambayo ndio wamiliki halali wa tovuti ya cheki.co.tz. Cheki hatuuzi magari kupitia mindao ya kijamii, bali kwa kupitia tovuti yetu tu. Mgari yanayouzwa cheki.co.tz yanakuwa yamepata kibali cha muuzaji, na wauzaji binafsi wanalipia kutangaza magari yao.
Kwa msaada na maelezo zaidi tutafute kupitia 0689 548 000. info@cheki.co.tz au tutembelee ofisini kwetu GEPF house, victoria floor ya nne.
 
Habari Honda xl,
Nashukuru kwamba unauelewa wa jinsi tovuti yetu inafanya kazi. Tuwauzaji mbali mbali wa hapa nnchini na Japan, kama muuzaji anakuambia hana magari hapa bali yapo Japani, basi hakikisha unafwata utaratibu wa kununua magari ya Japani, kwenye kufanya malipo ni vizuri ukatumia njia ya benki. Buying safe tips tunazotoa ni kwa ajili ya kukulinda wewe kama mnunuzi, mtu unayewasiliana nae sio cheki bali ni muuzaji wa gari. Kwa msaada zaidi tupigie 0689 548 000 au tuandikie barua pepe info@cheki.co,tz
 
Back
Top Bottom