Wapi zinauzwa mashine hizi hapa jijini Dar Es Salaam-mist duster-power sprayer

Wapi zinauzwa mashine hizi hapa jijini Dar Es Salaam-mist duster-power sprayer

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
11,904
Reaction score
8,371
Nauliza wapi zinauzwa mashine hizi za kumwagilia dawa za kuua wadudu kwenye mimea kama vile mikorosho, zinatumia mafuta zinaitwa mist duster-power sprayer, hubebwa mgongoni na hutumia petrol ili kusukuma maji/dawa kwa nguvu hadi kufikia umbali mrefu bila shida.
 
0679 12 11 11

0712 25 31 02
Piga namba hizo utapata hiyo mashine fasta. Wote wapo Dar
 
Back
Top Bottom