Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Hiki ni kilikuwa kinaitwa Chama Cha Chabo Tanzania(CCCT)
Sisi wapiga CHABO tulikuwa hatupati "A" wala "B" na tulikuwa hatuna shida nazo aisee..
Sisi tulikuwa tunatafuta "C" tu hahahah
Tulikuwa tunazumu hadi nukta.
Kama kuna somo ulilifaulu kwa kupiga chabo either form 4 au form 6 na hata chuo hebu tunaomba ushuhuda aisee..
Wanawake wa CHUO mungu anawaona
Watu walikuwa na skills aisee katika hii fani na wengine hadi degree wakapata
Wale wenzangu wa Physics wanakumbuka haya mapicha picha
Kila muda mbinu huwa tulikuwa tunabadilisha
Ila kuna muda tulikuwa tunadakwa
CHABO SIO HARAMU ILA UKIKAMATWA NI HARAMU
CC:
-NECTA
-NACTE
-TCU
-TAHOSSA
-EZERB