Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamsikia mwenye nyumba anamwambia Sirro namna ya kuwalazimisha wahalifu kuacha uhalifuNgoja wezi waongezeke tu
Unatangulizwa mbinguni kuwahi viwanja na vijana wa SirroWizi utaongezeka mtaani....
Kuna vile vibanda vya barabara ya kuelekea ferry karibu na wizara ya ardhi!ule ni uchafuNilijiuliza kama Stand ya nyabugogo Rwanda haina hao wasumbufu isipokua kampuni inakua na watu wake official wa kupokea abiria, lakini pia Roadport stand ya zimbabwe sikuona usumbufu huo iweje Tanzania? Tena jiji la Dar sasa imekua kila sehemu maturubai na karatasi za bluu kua ni wamachinga yaani tuvibanda kila sehemu! Unajiuliza machinga anauza laki hadi tano au nne kwa siku? Nchi imegeuka kua local hadi tunatia aibu
hiv si wanaendaga kuganjiwa na wenye mabas kwa vichwa atavyoleta.aisee hio vita yake sio ndogo.kuwaondoa haitawezekanaNi upumbavu wa hali ya juu, mtu ametoka Mbagala, Kivule, Bunju, Kigamboni anajua anakokwenda na usafiri atakaotumia halafu wao wanamdaka ati kumwelekeza lilipo gari la kusafiri nalo, kama ni kupotea kwanini hakupotea huko alikotoka aje apotee stand wakati tiketi anayo?
Hapa sasa kipimo cha kupata wateja itabakia ubora wa bus maana kuna mabus pale yamekaa kama magobolehiv si wanaendaga kuganjiwa na wenye mabas kwa vichwa atavyoleta.aisee hio vita yake sio ndogo.kuwaondoa haitawezekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena mwaisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hiyo stendi wakishawaruhusu wauza pipi, biskuti, maji watembeze humo ndani stendi itaharibikaaa
Ova
Wamewaingiza wamachinga ngoja tuone wakatavyo haribu kituo hichoNilijiuliza kama Stand ya nyabugogo Rwanda haina hao wasumbufu isipokua kampuni inakua na watu wake official wa kupokea abiria, lakini pia Roadport stand ya zimbabwe sikuona usumbufu huo iweje Tanzania? Tena jiji la Dar sasa imekua kila sehemu maturubai na karatasi za bluu kua ni wamachinga yaani tuvibanda kila sehemu! Unajiuliza machinga anauza laki hadi tano au nne kwa siku? Nchi imegeuka kua local hadi tunatia aibu
Ndiyo washawaruhusu kituo hicho nakipa miezi 6 tu patakuwa ovyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanataka pesa laini,wapiga debe ni keroWarudi kijijini watapokelewa maana fursa za debe mikoani bado zipo.
Nimeshangaa sana unajenga stand ya B50 then unaruhusu wauza karanga, miwa, mayai wafanye uchuuzi wao.....!!!??Hiyo stendi wakishawaruhusu wauza pipi, biskuti, maji watembeze humo ndani stendi itaharibikaaa
Ova
Waje wauzie chumbani kwako basihahahha, mnataka wakale wapi sasa na familia zao zinawategemea. Hii nchi niyetu sote jamani[emoji2]
Ongea ila shukuru Mungu hayajakukutaHao wapiga debe walishaonywa hiyo stendi waione ni kama kituo cha polisi, mbona hawasikiiiiii.
umepanick [emoji2]Waje wauzie chumbani kwako basi