Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Tangulia hospitali kuu mirembe Dodoma, watu wanalia na maisha magumu alafu nyie MATAGA na MATOKEO chanya akina mkandamizaji mnaofaidika kwa kuiuzia serikali mcheke wenu wa mbarali mnaona sawa tu, wajinga kweli na hamna huruma huku mkijipambanua kuwa wazalendo.Ukumbuke mwaka 2015 CCM ulikuwa na wapiga kura milio 8. Lakini sasa wameongezeka kufikia milioni 14. Sasa angalizo inawezekana hao milioni 6 waliongezeka ni kwasababu ya kupata hamasa ya maendeleo ya miaka5. Tumeshuhudia ongezeko kubwa la wanaccm kwenye uchaguzi wa ndani ya chama, tusubiri 28/10/2020 kwenye box la kura. Tuache ramri...za kisiasa.