Uchaguzi 2020 Wapiga kura wapya takribani Milioni sita na nusu (6.5M) kuamua mshindi wa Urais mwaka huu 2020

Tangulia hospitali kuu mirembe Dodoma, watu wanalia na maisha magumu alafu nyie MATAGA na MATOKEO chanya akina mkandamizaji mnaofaidika kwa kuiuzia serikali mcheke wenu wa mbarali mnaona sawa tu, wajinga kweli na hamna huruma huku mkijipambanua kuwa wazalendo.
 
SASA BASI
 
Exactly, hapo tayari kuna "ghost votes" milioni 3.8 hivi.
Wataziingizaje vituoni,hapo ndio CHADEMA wanatakiwa wapafanyie kazi.
 
Na sio maendeleo ya watu. Ahsante kwa taarifa.
 
Exactly, hapo tayari kuna "ghost votes" milioni 3.8 hivi.
Wataziingizaje vituoni,hapo ndio CHADEMA wanatakiwa wapafanyie kazi.
Itafika hatua tutatumia njia nyingine kuwaondoa ccm madarakani, ikibidi hata kuwapiga, maana wametuchosha saana na wanaonekana wanataka kung'ang'ania madarakani, alisema Pinda wapigwe tu hamna namna, maana wamekubuhu kwa wizi wa kura hawa mbwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…