Wapiga Vichwa wakali kuwahi kutokea katika soka

Wapiga Vichwa wakali kuwahi kutokea katika soka

List yangu ni kama ifuatavyo;

1. Patrick Kluivert
2. Steve Bruce
3. Sergio Ramos
4. Cristiano Ronaldo
5. Nemanja Vidic
6. Pippo Inzaghi

Sijapanga kwa namba. Ila mimi mara nyingi huwa nawapa credit sana mabeki hasa wa kati pindi wanapoenda kupiga vichwa kutokana na mipira ya kona au adhabu ndogo.

Ila kwa washambuliaji huyi Kluivert hana mfano wake.
Mbon mnamsahau drogba
 
Nyumbani kumenoga Samatta ni balaa ktk 20 bora ya wapiga vichwa hakosi
 
2006 worldcup game na Argentina walipigiana pasi za vichwa. Ogopa sana huyu jamaa.
Assist ya kichwa goli la kichwa wat a move that was. Sikumbuki vizuri aliyempa pasi ile lakini?? Podolski au Muller?

Sasa kuna mtu alikuwa anaitwa Carsten Junker ! W.cup 2002 alikuwa anasaidiana na marco bode, klose pale mbele . Jamaa hatari sana kwa vichwa
 
Kwa wachezaji wa karibuni niliowaona oliver bierhoff ndio namba moja kwa vichwa. Na statistics nyingi zinaegemea upande wake.
 
Back
Top Bottom