Mbon mnamsahau drogbaList yangu ni kama ifuatavyo;
1. Patrick Kluivert
2. Steve Bruce
3. Sergio Ramos
4. Cristiano Ronaldo
5. Nemanja Vidic
6. Pippo Inzaghi
Sijapanga kwa namba. Ila mimi mara nyingi huwa nawapa credit sana mabeki hasa wa kati pindi wanapoenda kupiga vichwa kutokana na mipira ya kona au adhabu ndogo.
Ila kwa washambuliaji huyi Kluivert hana mfano wake.
Safi!Lakini funga kazi kuliko wote tena wa kihistoria ni Patrick Kluivet,hapo mpishi wake alikuwa Rivaldo Victor Boba Ferreira.
Hata mimi nawashangaa hawa wadau. Yaaani katika wafungaji mahiri wa magoli ya vichwa wanamsahau klose...? Bila shaka hawafahamu vizuri rekodi zakeSuala la vichwa no 1 ni Miloslave Klose . Naona mnataja watoto wa juzi
Vijana wengi hawamtambui pande hilo la mtu, umenikumbusha Jamhuri ya Czech ya akina Koller, Pavel Nedved, Poborsky, Thomas Rosicky, Smicer na wengineo ilikuwa ni moja ya timu tishio sana barani ulaya hasa kwenye michuano ile ya Euro 2000.Kuna Jan Kohler mwili jumba
Msimsahau Marouane chamakh,Olivier Giroud
2006 worldcup game na Argentina walipigiana pasi za vichwa. Ogopa sana huyu jamaa.
Assist ya kichwa goli la kichwa wat a move that was. Sikumbuki vizuri aliyempa pasi ile lakini?? Podolski au Muller?
Kwa urefu alionao kufunga kwa kichwa siyo kitu cha kushangaza,uongo MKUBWA
ALIYEINGIA KWENYE GUINESS BOOK OF RECORDS KWA MAGOLI YA VICHWA NI MUINGEREZA PETER CROUCH
Klose na Kluivet nani ni Mkongwe na mtaalamu wa vichwa?Suala la vichwa no 1 ni Miloslave Klose . Naona mnataja watoto wa juzi