Wapiga Vichwa wakali kuwahi kutokea katika soka

Kwa wachezaji wa karibuni niliowaona oliver bierhoff ndio namba moja kwa vichwa. Na statistics nyingi zinaegemea upande wake.
Yeah huyu alikua hbr nyingne, bila kumsahau patric kluivet na mecelo salas ambae world cup 1998 alikua na goli nne zote za vichwa.
 
Hernan Crespo huyu alikuwa noma. Van persie nae sio kidogo
 

Crespo
Van persie
Pique
 
Gabriel Batistuta, kama uliwahi kumuona huyu jamaa akicheza utakubaliana na mimi kuwa kichwa chake kilikuwa moto.

Hernan Crespo, huyu nae alikuwa moto wa kuotea mbali.

Patrick Kluivert, huyu jamaa alikuwa balaa kwenye mipira ya juu

Cristiano Ronaldo, naye hatuwezi kumuacha katika list ya wapiga vichwa na kufunga magoli magumu ya vichwa.

Sergio Ramos, ni beki mwenye uwezo mkubwa wa kufunga kwa vichwa.
 
Abeid Mziba
 
Number 1 nakubali hawa wengine sijui
 
Andry caroll huyu jamaa namuelewa kwenya mipira ya kichwa
 
Hapa Mbona hamumsemi Dwarf jamani..??[emoji23][emoji23] Ila ronaldo ni Best aiseee...nenda uendakool...


CR7 atabaki kuwa juu milele yote...dwarf akasome tuu
 

Nawachangamsha tu...hii kitu siji kuisahau kabisa na ilivyokuwa naipenda Manu ya Ronaldo kipindi hiyo nilimuona huyu bwana ana roho mbaya saana.
Ila katika yote Patrick Kluivert kipindi kile hahahaha bichwa bichwa kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…