Wapigania UHURU waliwadanganya waafrika wawasapoti kuwafurusha wakoloni baada ya wakoloni kuondoka watawala wakageuka kuwa madikteta wakawageukia waafrika wakaanza kuwatesa waafrika.
Unapigania UHURU kuwaondoa Wazungu kisha unaunda makundi ya kigaidi, wasiojulikana na kihalifu (vikosi vya kumlinda Rais) vikulinde dhidi ya wanaotaka kukuondoa kisa utendi haki, kwa kwenda kinyume na matarajio ya wananchi, kwa kuviamuru vikosi vyao vya kigaidi kuteka, kutesa na kuua watu kwa mtindo wasiojulikana Ili kulinda tumbo.
Sasa nini tofauti yako na wakoloni, angalau wakoloni walifanya hayo huku wakiletea watu maendeleo. Thus huwa nasema wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi kwa kuwatumia Waafrika na siyo kupigania maslai ya Waafrika wote; ilikuwa ni kiini macho tu.
Thus baada ya UHURU wao ndio walionufaisha matumbo yao hadi SAsa vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye lindi la ufukara. Ukifanya study utagundua angalau mwafrika alikuwa ana nafuu kabla ya UHURU ajira zilikuwapo tele, chakula tele, elimu na afya zilikuwapo tele.
Walipigania UHURU ndio walipotosha waafrika walikuwa na ajenda binafsi za maslai yao wao thus baada ya UHURU wakageuka kuwa wakoloni weusi kwa kuwatendea mabaya waafrika, huku wakipora fedha na kuzificha ulaya.
Wakatumia elimu zao kuzibomoa nchi zao (Mugabe, Kamuzu banda, Savimbi, nk), wakajimilikisha utajiri wa nchi wao binafsi na familia zao ( Moi, Kenyatta, Mobutu, Do santos, nk) hawana historia ya kumiliki mali kabla ya uongozi zaidi ya kuwapora wananchi kupitia madaraka.
Asilimia 90 ya waafrika ni dhoofu hali, angalau kidogo nchi za waarabu zilizopo Afrika na hizi zimesaidiwa na mfumo wa dini ya kiislamu unaowafundisha watawala kutenda haki.
Ukuwahi kusikia gavana au mtawala yeyeto wa kikoloni amewahi fisadi mali ya nchi kwa maslai binafsi kama alivyofanya Zuma, Mobutu, nk kupendelea kwao. Mugabe kujenga makasri ulaya na singapore hali yeye ni mtawala wa kiafrica.
Unafukuza wakoloni kwamba unaweza then unawahitaji tena kwa lugha ya kuwapamba ukiwaita eti wawekezaji, nini SAsa tofauti ya mkoloni na Mwekezaji, angalau mkoloni hakuwaza kuondoka thus alijenga miundombinu mbalimbali nchini iliyo hai hata sasa.
Wakoloni hawakutegemea kodi kuleta maendeleo nchi za Afrika bali walitumia raslimali tele zilizojaa mfano nguvu kazi, madini, maji, ardhi, misitu nk, leo watawala wa kiafrica wameshindwa japo Wana KILA kitu yaani pesa, ardhi, maji, watu, masoko, nk, hawana tofauti na mabus ya mwendokasi wamepewa KILA kitu kuanzia abiria, barabara, magari lakini bado hawawezi.
Naona kama waafrika tumegota kujitawala. Ni rahisi kwa mtawala wa kiafrica kuiba pesa za wananchi akaenda kununua mabus, malori au kudhamini timu ya mpira au kuficha pesa Ulaya. Huku akimuacha mwafrika mwenzake anakufa kwa kukosa panadol, maji, njaa, nk.
Niseme tu watawala wa kiafrica walipigania maslai yao binafsi kwa kuwahadaa waafrika kwa malengo yao binafsi na sio malengo ya jumla, thus ukigusa maslai yao lazima wakuweke kwenye kiroba.
Unapigania UHURU kuwaondoa Wazungu kisha unaunda makundi ya kigaidi, wasiojulikana na kihalifu (vikosi vya kumlinda Rais) vikulinde dhidi ya wanaotaka kukuondoa kisa utendi haki, kwa kwenda kinyume na matarajio ya wananchi, kwa kuviamuru vikosi vyao vya kigaidi kuteka, kutesa na kuua watu kwa mtindo wasiojulikana Ili kulinda tumbo.
Sasa nini tofauti yako na wakoloni, angalau wakoloni walifanya hayo huku wakiletea watu maendeleo. Thus huwa nasema wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi kwa kuwatumia Waafrika na siyo kupigania maslai ya Waafrika wote; ilikuwa ni kiini macho tu.
Thus baada ya UHURU wao ndio walionufaisha matumbo yao hadi SAsa vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye lindi la ufukara. Ukifanya study utagundua angalau mwafrika alikuwa ana nafuu kabla ya UHURU ajira zilikuwapo tele, chakula tele, elimu na afya zilikuwapo tele.
Walipigania UHURU ndio walipotosha waafrika walikuwa na ajenda binafsi za maslai yao wao thus baada ya UHURU wakageuka kuwa wakoloni weusi kwa kuwatendea mabaya waafrika, huku wakipora fedha na kuzificha ulaya.
Wakatumia elimu zao kuzibomoa nchi zao (Mugabe, Kamuzu banda, Savimbi, nk), wakajimilikisha utajiri wa nchi wao binafsi na familia zao ( Moi, Kenyatta, Mobutu, Do santos, nk) hawana historia ya kumiliki mali kabla ya uongozi zaidi ya kuwapora wananchi kupitia madaraka.
Asilimia 90 ya waafrika ni dhoofu hali, angalau kidogo nchi za waarabu zilizopo Afrika na hizi zimesaidiwa na mfumo wa dini ya kiislamu unaowafundisha watawala kutenda haki.
Ukuwahi kusikia gavana au mtawala yeyeto wa kikoloni amewahi fisadi mali ya nchi kwa maslai binafsi kama alivyofanya Zuma, Mobutu, nk kupendelea kwao. Mugabe kujenga makasri ulaya na singapore hali yeye ni mtawala wa kiafrica.
Unafukuza wakoloni kwamba unaweza then unawahitaji tena kwa lugha ya kuwapamba ukiwaita eti wawekezaji, nini SAsa tofauti ya mkoloni na Mwekezaji, angalau mkoloni hakuwaza kuondoka thus alijenga miundombinu mbalimbali nchini iliyo hai hata sasa.
Wakoloni hawakutegemea kodi kuleta maendeleo nchi za Afrika bali walitumia raslimali tele zilizojaa mfano nguvu kazi, madini, maji, ardhi, misitu nk, leo watawala wa kiafrica wameshindwa japo Wana KILA kitu yaani pesa, ardhi, maji, watu, masoko, nk, hawana tofauti na mabus ya mwendokasi wamepewa KILA kitu kuanzia abiria, barabara, magari lakini bado hawawezi.
Naona kama waafrika tumegota kujitawala. Ni rahisi kwa mtawala wa kiafrica kuiba pesa za wananchi akaenda kununua mabus, malori au kudhamini timu ya mpira au kuficha pesa Ulaya. Huku akimuacha mwafrika mwenzake anakufa kwa kukosa panadol, maji, njaa, nk.
Niseme tu watawala wa kiafrica walipigania maslai yao binafsi kwa kuwahadaa waafrika kwa malengo yao binafsi na sio malengo ya jumla, thus ukigusa maslai yao lazima wakuweke kwenye kiroba.