Wapigania Uhuru waliwapotosha Waafrika


Hili ni tatizo kubwa Sana mwizi kuonekana shujaa.
Hii imetokana na wazazi waliofanya Kazi KWA uaminifu na uadilifu na uzalendo Mkubwa Sana serikali ikawatupa jongoo, wakiishi maisha ya mbwa baada ya kustaafu, kumbuka Nyerere hakutaka watu wamiliki mali. Chupa za bia pembeni jamaa anakusanya vizibo kesho unafatiliwa pesa za kunywa umetoa wapi. Uhujumu uchumi unakuhusu, so ikabidi wengi wawe wazinzi wakatumia pesa zao kuhonga, maana ukifanya maendeleo tu unapewa kesi ya uhujumu uchumi. Baada ya wazee kutupwa jongoo, wakiishi KWA dhiki ndio wamewaambia vijana wao wakombe kabisa Ili kesho wasiishi maisha mabovu kama wao, thus vijana wapo radhi kugawana na hakimu Ili kumaliza soo. Pangekuwepo na utaratibu wa kuwajali wastaafu angalau vijana wasingekuwa wezi. Maana madhara ya wezi wote uathirika wakiwemo na wezi wenyewe, maana hizo pesa Sana Sana watakula watoto wao kuanzia wajukuu kuendelea ni msoto tu.
Unapoiba pesa za uma means umeiba kesho ya mjukuu wako.
 
Mugabe alikuwa moja ya madikteta bogus kabisa aliitumia vibaya elimu yake kuibomoa nchi yake badala ya kutumia elimu kuijenga nchi yake.Zimbu ya Ian Smith ilikuwa bora zaidi kuliko ya mugabe,mwafrika alikuwa na uhakika wa maisha.
 
Waafrica mmeanza funguka akili make viongozi wenu wamefeli vibaya sana afu lawama mnampelekea mzungu
Hakuna mtawala wa kiafrica anaeweza mletea mwafrika maendeleo,kwao uongozi ni ajira na sio wito.
 
Umepewa mlima wa chuma pembeni umepewa mlima wa makaa ya mawe eti hata la kuyeyusha tu chuma huwezi. Kuwafundisha tu watu wa eneo hilo jinsi ya kutengeneza blust furnace vijana wakatumia makaa ya mawe kuyeyusha chuma wauze viwanda vya nondo, bati, nk wapate ajira eti hatuwezi, mbona blacksmith wahunzi wazee wa zamani wao waliweza zalisha chuma.
Eti zama hizi mtu anaishi kwenye vijumba vya udongo na nyasi utadhani panya, kwann wasifunze watoto mashuleni jinsi ya kutengeneza matofali na vigae vya kuezekea KWA udongo uliopo mwingi eneo husika wajenge nyumba bora, KWA mpangilio bora.
 
Wapigania uhuru wengi,walikabidhiwa nchi wakiwa hawana ujuzi,uzoefu wa kutawala nchi,sasa walipoonja utamu wa kukaa Ikulu,Waka hapa,hawatatoka,wakapiga marufuku vyama vya Siasa,uhuru wa kujieleza,vyombo vya habari,ikabakia kulamba asali tu,
Hata Hawa waliopo Madarakani sasa hv,hawana majibu na matatizo ya wananchi,kipaumbele Chao ni kubaki Madarakani hata kwa kuua,wanaogopa sana kuuacha utamu wa madaraka,
Dawa pekee ya Hawa watu,maandamsno ya wananchi,kama ilivyotokea kwenye nchi za kiarab.
Samia na genge lake,wanaiibia hii nchi sana,kenge kama Hawa hawapo tayari kutoka Ikulu kwa ridhaa,lazima watolewe,ukweli mchungu lazima damu imwagike
 
Mugabe alikuwa moja ya madikteta bogus kabisa aliitumia vibaya elimu yake kuibomoa nchi yake badala ya kutumia elimu kuijenga nchi yake.Zimbu ya Ian Smith ilikuwa bora zaidi kuliko ya mugabe,mwafrika alikuwa na uhakika wa maisha.
Sasa kikowapi, daraja lilijengwa ingawa kwa gharama kubwa zaidi kisa huyu shwaaini Mugabe
 
Kutawaliwa kiakili, kimwili na hata kutumikishwa sio lazima uwapate wakoloni.
Hata saa ukiamua kuwa mtumwa njoo tu kwangu , utakula mpaka uvimbiwe, baada ya kunitumikia wewe na mke wako na familia yako kwa masaa 12 tu!
 
Umesahau Hosni Mubarak, yule rais wa Tunisia, Gadaffi, yahya Jameh (Gambia 99% muslims), rais wa Mauritania yote hayo ni miislamu.

Somalia Said Barre wee vipi yote hayo ni miislamu na ina sijda haikosi kuswali mara tano kwa siku.

Eti uislamu kuna haki. Wakati mnachinjana , kuuana na kuchukiana wenyewe kwa wenyewe na mi sijda yenu na huyo mungu wenu mmoja wa kiarabu



Hovyo kabisa
 
Lakini idadi kubwa ya madikteta ni Wakristo hata ukitazama list ya madikteta ya afrika au ya Dunia.
Lakini huwezi linganisha maisha ya hizo nchi za kiislamu za Afrika na hizi nchi zingine za kiafrica, angalau wao Wana nafuu ya maisha ikiwemo huduma za Jamii. Morocco, tunisia, algeria, libya, misri
 
Kutawaliwa kiakili, kimwili na hata kutumikishwa sio lazima uwapate wakoloni.
Hata saa ukiamua kuwa mtumwa njoo tu kwangu , utakula mpaka uvimbiwe, baada ya kunitumikia wewe na mke wako na familia yako kwa masaa 12 tu!
Kwann usiwalishe watz wote hili waone matunda ya UHURU
 
UHURU umeshindwa kabisa kumkomboa mwafrika.
KWA yanayoendelea Afrika ni ushahidi tumeshindwa kabisa kujitawala ni bora tununue management ya kutusimamia kwenye siasa na uchumi pia toka private sector.
 
Wapigania UHURU walipigania maslai yao uthibisho wao ni matajiri na vizazi vyao lakini waafrika wengi ni masikini dhoofu hali wanakufa KWA kukosa panadol ya shilingi mia tano
 
Uhuru Kwa waafrika ni scam! Na hata walioandaa mitaala ya historia ni verified scammers. Mmechelewa sana kuligundua hilo. African History thought in schools is more subjective than being objective.
 


Hii mada ikifanyiwa uchambuzi wa kina na kufuatilia kiundani zaidi kuna jambo tunaweza kulielewa.

Kuna kitu hapa. Tena chenye uwezo wa kuokoa vizazi vijavyo ama kuvidumaza zaidi.
 
Idadi ya vijana wa kiafrica kuwa na ndoto za kuzamia ulaya maelfu wakibisha hodi ofisi mbalimbali za ubalozi, mamia wakizamia meli,Ili kufuata uhakika wa maisha bora ni uthibisho UHURU umeshindwa kutukomboa, ipo haja ya kutafuta namna nyingine ya kutukomboa kifikra na kiuchumi.
 

Uko sahihi lakini kumbuka mabadiliko ni jambo linaloendelea masaa ishirini na nne na kila sekunde ya masaa hayo.

Mabadiliko hayasimami wala hayasinzii, yapo kila kukicha na ndio maana hata wewe unakua na kuendelea kubadilika kila kukicha, ki mwili, ki akili na ki fikra pia.

Na kadri ya ukuaji na utambuzi na ufahamu wa mwanaadm unavyoendelea kupanuka ndivyo na mabadiliko hayako mgando.

Leo utaamua unapenda sana nyama ya ng’ombe lakini pia ukipata nafasi ya kufahamu na kutambua sababu za msingi za waopinga ulaji wa nyama, pengine utabadili maamuzi na kuamua kutokula nyama ya ng’ombe kamwe na pengine wewe ukawa balozi mzuri zaidi ukafanya na kampeni ya kutokula nyama yoyote ile na sio ng’ombe tu!

Binafsi ninaamini ya kwamba chochote kile binaadam tukiamua kufanya tunaweza na zaidi uwezo tulioumbwa nao wa kuyapinga mabaya na kuyaangamiza ni mkubwa sana na hauna mfano wake lakini tamaa ya miili yetu na Ujinga tulioukubali kiroho ndio mkwamo wetu.

Imani haijafa, watu wataamka tu wala sio muda mrefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…