Wapinzani 2025, nchi iko wazi

Wapinzani 2025, nchi iko wazi

Chalii flani

Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
67
Reaction score
166
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu

Fanyeni haya yafuatayo
  • Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
  • Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
  • Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
  • Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
  • Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka

Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.

Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.

Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
 
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu

Fanyeni haya yafuatayo
  • Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
  • Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
  • Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
  • Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
  • Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka

Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.

Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.

Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
Nchi ipo wazi kwa wapinzani tangu 1995 ila ccm hawaruhusu hilo si mliona 2020?
 
Kwa aina hii ya upinzani,tusitegemee lolote,ni mpk utokee kasi ndani ya ccm,kama kila mpinzani kwa sasa wanamsifu mama yupo vzr na anaupiga mwingi,kuna haja ya kutegemea?
 
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu

Fanyeni haya yafuatayo
  • Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
  • Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
  • Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
  • Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
  • Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka

Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.

Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.

Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
Mada nzuri na umeichambua vizuri.
NA Mimi nakazia wapinzani wote bebeni Sera nzuri zitakazo Jali maslahi ya wananchi wengi hapo 2025 itakuwa kama Kumsukuma mlevi.
Wakati huo huo tuwe na tume huru ya uchaguzi na kila kitu kiwe huru kisiegemee upande wowote ushindi utakuwa mapema Sana.
 
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu

Fanyeni haya yafuatayo
  • Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
  • Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
  • Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
  • Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
  • Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka

Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.

Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.

Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
Hakuna mpinzani 2025 anaeweza kushindanishwa na mama, labda wachukue mtu smati kutoka ccm kama walivyofanya 2015
 
Tunakumbushana tu

Chadema wanakiogopa kivuli cha hayati Magufuli na watakiogopa hadi 2050

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka!
 
Mjomba ha ha ha ha Sahau ccm kushindwa uchaguzi 2025 yaani sahau kabisa mjomba
 
Tunakumbushana tu

Chadema wanakiogopa kivuli cha hayati Magufuli na watakiogopa hadi 2050

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka!
Kweli, kufa kufaana!
Kifo cha magufuli kimewanufaisha kisiasa kama ilivyo cha Nyerere kinavyowanufaisha kiuchumi! Wanatumia fursa kwa ufasaha!
 
Nchi iko wazi toka 1995. Bila polisi CCM ni kama KANU ya Kenya tu.
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu

Fanyeni haya yafuatayo
  • Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
  • Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
  • Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
  • Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
  • Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka

Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.

Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.

Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
 
Tanzania hakuna upinzani ila ni kikundi Cha ukabila Cha kaskazini na hakitoshinda ng'o CCM Wana matawi na watu kila Kanda

Watafanya Kila mbinu waendelee kusalia madarkani mkitaka chadema kivunjwe kitafutwe chama mwenyekiti awe kama mtu wa tabora ,au mbeya
 
Tunakumbushana tu

Chadema wanakiogopa kivuli cha hayati Magufuli na watakiogopa hadi 2050

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka!
Sijui ni mjinga yupi bado anafikiri Magufuli alikuwa rais mzuri, labda baadhi ya wajinga kutoka kanda ya ziwa. Lazima wamtetee kuondokana na aibu.
 
Tanzania hakuna upinzani ila ni kikundi Cha ukabila Cha kaskazini na hakitoshinda ng'o CCM Wana matawi na watu kila Kanda

Watafanya Kila mbinu waendelee kusalia madarkani mkitaka chadema kivunjwe kitafutwe chama mwenyekiti awe kama mtu wa tabora ,au mbeya
Hakuna upinzani na mnaogopa watu kufanya kamkutano mtaani. Kweli CCM iliondoka na Nyerere.
 
Back
Top Bottom