Upinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufaHakuna upinzani na mnaogopa watu kufanya kamkutano mtaani. Kweli CCM iliondoka na Nyerere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufaHakuna upinzani na mnaogopa watu kufanya kamkutano mtaani. Kweli CCM iliondoka na Nyerere.
Wenzio walioko madarakani wanaujua moto wa upinzani ila wewe usiyejua chochote ndio unapiga miluzi hapoUpinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufa
Kwa yeyote mwenye vinasaba vya ufisadi,ulevi ushabiki wa ukiukwaji haki,hawezi kupenda chadema,kabla ya kuelimishwa na kuwa aache mahaba na atabue lipi jema nalipi baya ,na haki ni ipi bado ataendelea kuamini kuwa uovu ni sehemu ya maisha.Upinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufa
Yaani Unapambana Na Jina La mtuWaache kwanza wana hasira na wanapambana na Marehemu wahakikishe mpaka amefufuka.
Ama kweli akili zako ziko kwenye makalioEndapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu
Fanyeni haya yafuatayo
- Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
- Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
- Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
- Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
- Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka
Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.
Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.
Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
Chadema ndo namba moja Kwa uliyoyataja mwenyekiti mmoj tangu mwanzo chama Cha ukabila Wacha kupigia debe ugali wako hakiingia ng'o madarakani hatuwez kusapoti walevi wa kaskaziniKwa yeyote mwenye vinasaba vya ufisadi,ulevi ushabiki wa ukiukwaji haki,hawezi kupenda chadema,kabla ya kuelimishwa na kuwa aache mahaba na atabue lipi jema nalipi baya ,na haki ni ipi bado ataendelea kuamini kuwa uovu ni sehemu ya maisha.
Ila kwenye mambo ya msingi punguza mahaba ili usiendelee kuwa kipofuChadema ndo namba moja Kwa uliyoyataja mwenyekiti mmoj tangu mwanzo chama Cha ukabila Wacha kupigia debe ugali wako hakiingia ng'o madarakani hatuwez kusapoti walevi wa kaskazini
Mazuzu ndio watawaelewa wapinzani njaa hao.Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu
Fanyeni haya yafuatayo
- Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
- Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
- Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
- Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
- Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka
Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.
Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.
Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.
Asante mkuu ubarikiweAma kweli akili zako ziko kwenye makalio
Nchi iko wazi 2025[emoji849][emoji849][emoji849]?Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu
Fanyeni haya yafuatayo
- Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
- Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya chini zaidi Kama alivyofanya hatari dk Magufuli.
- Ikiwezekama unganeni mpate mgombea mmoja anaeeleweka pambaneni ipatikane tume huru ya uchaguzi,
- Tafuteni Ni mbinu gani mtatumia kulinda kura zenu zisiibiwe,
- Endeleeni kupambania Katiba mpya bila kuchoka
Uongozi wa awamu ya sita umekosa mvuto kabisa kwa wananchi umekua Na maumivu makubwa Sana kwa wananchi badala ya kua faraja.
Serikali umeshindwa kabisa kufikiria namna ya kupata fedha kwa kupitia rasilimali tulizobarikiwa nchini kwetu badala yake wamewageukia wananchi wa nchini na kuwanyanganya hata kile kidogo wanachokipata kwa kupitia tozo,Makato ya umeme kila mwezi,na kuongeza Kodi kwenye mafuta Hali inayopelekea bidhaa kupanda haya yote yanawaumiza Sana wananchi.
Wapinzani jipangeni vizuri mtuletee wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa 2025 utakua mwepesi Sana kwenu.