Wapinzani 2025, nchi iko wazi

Hakuna upinzani na mnaogopa watu kufanya kamkutano mtaani. Kweli CCM iliondoka na Nyerere.
Upinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufa
 
Upinzani gani we nawe wa kuogopa mbona mashekhe wa uhamso wanafungwa hakuna upinzani mm na akili timamu nichague chadema labda nimekufa
Kwa yeyote mwenye vinasaba vya ufisadi,ulevi ushabiki wa ukiukwaji haki,hawezi kupenda chadema,kabla ya kuelimishwa na kuwa aache mahaba na atabue lipi jema nalipi baya ,na haki ni ipi bado ataendelea kuamini kuwa uovu ni sehemu ya maisha.
 
Ama kweli akili zako ziko kwenye makalio
 
Kwa yeyote mwenye vinasaba vya ufisadi,ulevi ushabiki wa ukiukwaji haki,hawezi kupenda chadema,kabla ya kuelimishwa na kuwa aache mahaba na atabue lipi jema nalipi baya ,na haki ni ipi bado ataendelea kuamini kuwa uovu ni sehemu ya maisha.
Chadema ndo namba moja Kwa uliyoyataja mwenyekiti mmoj tangu mwanzo chama Cha ukabila Wacha kupigia debe ugali wako hakiingia ng'o madarakani hatuwez kusapoti walevi wa kaskazini
 
Chadema ndo namba moja Kwa uliyoyataja mwenyekiti mmoj tangu mwanzo chama Cha ukabila Wacha kupigia debe ugali wako hakiingia ng'o madarakani hatuwez kusapoti walevi wa kaskazini
Ila kwenye mambo ya msingi punguza mahaba ili usiendelee kuwa kipofu
 
Mazuzu ndio watawaelewa wapinzani njaa hao.
 
Wengine tumesharidhika na mama, hatutaki mwingine....nimetumia neno (SISI) kwa maana wanaomkubali mama ni wengi....mabest wangu mtanisamehe kwa hili......
 
Nchi iko wazi 2025[emoji849][emoji849][emoji849]?
Kumbuka kila tunapopiga kura za maamuzi usimsahau KINGAI na genge lake wanapoenda kubadilisha matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…