Wapinzani futeni matumaini ya kuachiwa majimbo 2025

Wapinzani futeni matumaini ya kuachiwa majimbo 2025

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
 
Hakuna mpinzani anayetaka kuachiwa Jimbo, wanachotaka ni uwanja wenye usawa ili kila mmoja aweze kunadi sera zake kwa uhuru.

Tume huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya.
 
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
Tutawapa kura ilimradi Msiibe
 
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
Kijana tulia utafakar namna ya kuleta hoja humu!!
 
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
uvccm na sukuma gang mmechanganyikiwa na bado 2025 mtafutika kabisa hata ule ubunge wa kupita bila kupingwa hamtauona.
 
Bila kujua wanawapigia campaing CCM.

2025 sauti zao za kusifia zitachezwa kama slogan za mama kukubalika.

Wametegwa wakategeka.
 
Bila kujua wanawapigia campaing CCM.

2025 sauti zao za kusifia zitachezwa kama slogan za mama kukubalika.

Wametegwa wakategeka.
watanzanja wa leo wakuwekea saut labda kama huko lumumba huwa mnafanyiwa hivyo sawa maana tunawajua wengi wenu ni wajinga.
 
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
Waachiwe na nani? Wanatakiwa wakomae
 
Nimesoma sehemu mbalimbali kwamba inasemekana mojawapo ya sehemu ya maridhiano ni wapinzani kuachiwa majimbo kadhaa ya uchaguzi.

Baada ya kutafakari sana kisha ku-connect dots na haya matusi ya viongozi waandamizi wa upinzani dhidi ya bodaboda na makundi mengine ya kimkakati nikahisi inaweza kuwa kweli.

Naona kama vile wapinzani wamejiwekea hayo matumaini ndo maana wanaishia kutukana wapiga kura kwamba kazi zao ni za laana.

Linapokuja suala la uchaguzi ni kwamba CCM huwa haina mzaha kabisa... alishawahi lalamika Zitto Kabwe kwamba kwenye uchaguzi mdogo tu huko jimboni Kigoma, CCM ilipeleka viongozi wake wa kitaifa akiwemo makamu wa Rais kupiga kampeni.

CCM kamwe hawawezi kuachia chama chochote jimbo. Kitu pekee cha kutia moyo ni kwamba 2025 uchaguzi utakuwa huru na wa haki hivyo wapinzani wajipange badala ya kudhani watapewa majimbo kama zawadi.

Sanduku la kura ndo litaamua. CCM haina mjadala wala utani kwenye uchaguzi wa ngazi yoyote ile.
Unataka tujadili uvumi? Watu wanataka kuingia uwanjani huku refa akiwa neutral na pia uwanja uwe level. Atakayeshinda ashinde kihalali na atakayeshindwa vivo hivyo.

Narudia tena, wewe ni boya
 
Upinzani haujawahi pewa majimbo kama zawadi ila "chama pendwa" ndio hujizawadia majimbo!
 
Back
Top Bottom