Wapinzani futeni matumaini ya kuachiwa majimbo 2025

Umewahi mno kufikiri uchaguzi....
Mwezi mmoja unaweza kubadili historia..
 
Hivi kwa akili ya kawaida, ulishawahi kusikia chadema wameiba kura?
Mjitahid kuwa mnasoma mnaelewa, hivi CHADEMA mnashida gani? Wapi ameandika
CHADEMA wanaibaga kura? Kasema maridhiano sio ya kupeana majimbo, na kaongeza muache kutukana Watanzania wenzenu kisa mshajengewa majumba huko ughaibuni.
 
Kwani wapinzani wanachotaka ni kuachiwa majimbo au tume huru ya uchaguzi? Kuna mpinzani anayetaka CCM akishinda kwa kura halali atangazwe mpinzani tu??
 
Kupewa majimbo ndio utumbo gani? Unapewaje jimbo kwa mfano??
Mjitahid kuwa mnasoma mnaelewa, hivi CHADEMA mnashida gani? Wapi ameandika
CHADEMA wanaibaga kura? Kasema maridhiano sio ya kupeana majimbo, na kaongeza muache kutukana Watanzania wenzenu kisa mshajengewa majumba huko ughaibuni.
 
watanzanja wa leo wakuwekea saut labda kama huko lumumba huwa mnafanyiwa hivyo sawa maana tunawajua wengi wenu ni wajinga.
Duh, hapo ukute mwenyewe unajisifu umetoa bonge la point🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Mjinga ni baba yako alieacha kuvaa kondom kupelekea kuzaliwa fuko la mavi kama wewe lisilojielewa.

Angevaa mpira au kupiga nyeto tusingekuwa na upumbavu kama huu wako hapa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…