Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa kama ameweza from zero experience kwann hao wapinzani wenye uzoefu wasemwe kuwa hawawezi?Sasa wewe unaangaliaje maneno ya watu wachache na kuyafanya kuwa kweli? Hatahivyo, hao wote wameshaomba msamaha
Kikubwa wewe mwenyewe umeona mzee mambo ametenda. Amethibitisha kuwa anaweza na zaidi ya kuweza
Huyu ndiyo yupo tayari kuongoza nchi?!View attachment 1554711
Dr Magufuli hakuwa na zero experience, yeye alikuwa n waziri mwandamizi. Kumbuka amekuwa naibu na waziri kamili kwa kipindi cha miaka 20Sasa kama ameweza from zero experience kwann hao wapinzani wenye uzoefu wasemwe kuwa hawawezi?
Kama kawaNimekuona ukigonga mdogo mdogo
Hebu weka hapa maelezo ya utekelezaji wa million 50 kila kijiji na laptop kwa kila mwalimu.Ishu sio kuwa na wish list, ishu kasema atatekelezaje?
Mwenzake huku Dr Magufuli anatekeleza kwa vitendo
Waziri hafanyi kazi za kiutawala ndugu. Unapingana na prof. Mwandosya?Dr Magufuli hakuwa na zero experience, yeye alikuwa n waziri mwandamizi. Kumbuka amekuwa naibu na waziri kamili kwa kipindi cha miaka 20
Hili nilishalijibu kitamboHebu weka hapa maelezo ya utekelezaji wa million 50 kila kijiji na laptop kwa kila mwalimu.
Wanabodi,
Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.
Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.
Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.
Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.
Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni
Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.
#2020 kura kwa John
Kwani kazi ya waziri ni nn?Waziri hafanyi kazi za kiutawala ndugu. Unapingana na prof. Mwandosya?
Kwahiyo tumekubaliana kuwa nyie mkiandika habari za vyama vyenu ni uzalendo ila sisi tukiandika habari za CCM n buku 7Taga katika ubora wako. Ya kuwa wanahitaji kupasishwa na wewe siku sasa wakifuzu?
Kama hizi siyo zile ndoto za Alinacha. Ndoto hizo zitakuwa hazipo tena.
Yote hiyo ni buku 7 ndiyo inayofagiliwa? Heko bro.
Hiiiii bagosha!
Kwahiyo tumekubaliana kuwa nyie mkiandika habari za vyama vyenu ni uzalendo ila sisi tukiandika habari za CCM n buku 7
Wapo kwa ajiri ya ruzuku tu hamna lolote
akuna wapinzani kuna waganga njaa tu.
Hivi nyie watu mnaokotwa wapi, hata Kiswahili jamani? Mnaishushia hadhi JF yetu, rudini huko huko Lumumba.Ukweli haiwezi kuwa uchafu jombii
Kumbe! Kwa hiyo kulalamika na kukurupuka kote kumbe alikuwa ndani ya serikali zilizopita akila nao, akishirikiana nao, akifisadi nao! Halafu leo anadai anainyosha nchi! Kweli wajinga ndio waliwao!Dr Magufuli hakuwa na zero experience, yeye alikuwa n waziri mwandamizi. Kumbuka amekuwa naibu na waziri kamili kwa kipindi cha miaka 20
TBCCCM sasa ni mali binafsi ya CCM walienda kuhujumu mkutano wa chadema, wanalipwa mishahara kwa kodi za watanzania wote lakini cha ajabu wamekuwa watumwa wa CCM tu, corona ipo chini chini watu wanakufa lakini husingizia ni magonjwa mengine kuogopa kutengwa na jamii lakini ipo, CCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani sasa wamekuja na style haramu ya kupita bila kupingwa ukiwa ni ushetani Hatari tokea Nchi ipate uhuru mwaka 1961Wanabodi,
Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.
Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.
Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.
Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.
Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni
Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.
#2020 kura kwa John