Uchaguzi 2020 Wapinzani hawako tayari kuongoza nchi

Uchaguzi 2020 Wapinzani hawako tayari kuongoza nchi

Yani kununua ndege ndo matumaini?kujenga uwanja wa mpira ndo matumaini?
Pathetic
Ununuzi wa Ndege kuna 10% za mtukufu na ufisadi wa kutisha ndiyo maana CAG alipothubutu kugusa huko wakaamua kumtoa kafara kukwepa Aibu
 
Dr Magufuli hakuwa na zero experience, yeye alikuwa n waziri mwandamizi. Kumbuka amekuwa naibu na waziri kamili kwa kipindi cha miaka 20
Kama ana uzoefu mbona hajiamini mpaka kutumia udikiteta kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?
 
Ninacho mkubali ZITTO ni uwezo wa kuonyesha mawazo mbadala na huo ndio upinzani.
Wote tunajua wapinzani nao ni watumishi wa umma wanaishi kupitia ruzuku ambayo ni kodi za wananchi.
 
Wanabodi,

Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.

Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.

Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.

Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.

Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni

Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.

#2020 kura kwa John
Changamoto za hapa na pale.
 
Utatetea ccm kwasababu ya uvivu wako na akili changa ya mambo ukikua utabadilika.
Nafikiri itapendeza ukianza kubadilika wewe. Kwa maana kuonesha kukubali mazuri ambayo serikali ya Tanzania imeyafanya ndio mwanzo wa kujifunza kuwa Mzalendo, sio kupinga tu na kuwadharau wanaosifu juhudi za serikali.
 
Yani kununua ndege ndo matumaini?kujenga uwanja wa mpira ndo matumaini?
Pathetic
Ili watu waweze kuendelea ni lazima wawekewe mazingira ya wao kuweza kujiletea maendeleo yao ya kiuchumi pamoja na Maendeleo ya Taifa lao.

Maendeleo yanaenda pamoja na miundombinu bora ya usafirishaji pamoja na miundombinu bora ya michezo. Tunafahamu sio kila mfanyabiashara anaweza akaona umuhimu wa uwepo wa Ndege, lakini ni kweli wapo wafanyabiashara ambao kwa uwepo wa Ndege tu itazinufaisha biashara zao. Na sio kweli kwamba watanzania wote ni wanamichezo, lakini kuwepo kwa kiwanja cha mpira kikubwa na bora, ni Jambo zuri katika kuhamasisha michezo na kuweka mazingira mazuri ili wanamichezo waweze pia kujiingizia mapato yao kiuchumi pamoja na ya Taifa lao.

Tunafahamu kuwa hata wewe unanunua pafyumu kwa ajili ya kuupamba mwili wako kwa kuupa manukato mazuri na yenye kuuvutia mwili wako, lakini sio kila sehemu ya mwili inapata nafasi ya kupuliziwa pafyumu hiyo. Kwa nafasi hizo chache za mwili wako, ndizo zinaupa heshima sehemu zingine za mwili wako ambazo hazijafikiwa na manukato. Kwani watu wanasema unanukia vizuri!
 
TBCCCM sasa ni mali binafsi ya CCM walienda kuhujumu mkutano wa chadema, wanalipwa mishahara kwa kodi za watanzania wote lakini cha ajabu wamekuwa watumwa wa CCM tu, corona ipo chini chini watu wanakufa lakini husingizia ni magonjwa mengine kuogopa kutengwa na jamii lakini ipo, CCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani sasa wamekuja na style haramu ya kupita bila kupingwa ukiwa ni ushetani Hatari tokea Nchi ipate uhuru mwaka 1961
TBC walikuwa wanatejeoeza majukukumu yao nyie mkawafukuza. Halafu wasipoonekana manalalamika.

Wagombea wenu wanashindwa kujaza fomu, hamko makini na ndio maana CCM wanapita bill kupingwa.

Pale Bumbuli mgombea wenu hakuweka picha kwenye fomu, Ukosefu wa umakini
 
Ninacho mkubali ZITTO ni uwezo wa kuonyesha mawazo mbadala na huo ndio upinzani.
Wote tunajua wapinzani nao ni watumishi wa umma wanaishi kupitia ruzuku ambayo ni kodi za wananchi.
Tatizo lake ni undumilakuwili
 
Kabisa. Uzalendo wa Lissu usipouona wewe ni buku 7. Waulize buku 7 wenzio watakwambia. Hivi wana hofu sana kuwa watakula wapi sasa kwa upepo huu?

Bila angalau ya buku 7 kwa hakika hayupo wa kuandika huu utopolo mnaoandika. Kwa hamasa ipi?
Utasubiri Sana. Mgombea wako sidhani Kama atapata asilimia 25 katika uchaguzi huu. Itakuwa ngumu sana
 
Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.
Kama ni kweli tuliibiwa ulitaka asemeje?

WanaCCM ni binadamu Kama walivyo binadamu wengine, hivyo kufanya makosa ni jambo la kawaida. Mwenyekiti wetu Sasa hataki mchezo na anarekebisha.

Hivi Kama ukimkuta sheikh anakula kitimoto, utamlaumu yeye au utaulaumu uislamu?
 
Hivi nyie watu mnaokotwa wapi, hata Kiswahili jamani? Mnaishushia hadhi JF yetu, rudini huko huko Lumumba.
Kumbe! Kwa hiyo kulalamika na kukurupuka kote kumbe alikuwa ndani ya serikali zilizopita akila nao, akishirikiana nao, akifisadi nao! Halafu leo anadai anainyosha nchi! Kweli wajinga ndio waliwao!
Asiejua maana haambiwi maana
 
Huyu jamaa aliekata pumzi ndiye yupo tayari kuongoza nchi?!
Egmtp-WWoAE_XGt.jpg
 
Kw
Wanabodi,

Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.

Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.

Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.

Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.

Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni

Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.

#2020 kura kwa John
Kwenda kulee, kwa uonevu mnaoufanya unataka msilalamikiwe.
Mipango ya maendeleo ipo katika ilani tayari wewe "mzembe mmoja"...
Miongoni mwa vitu vinatuhusu vijana ni mkopo wa elimu ya juu kukatwa kinyume na mkataba wa awali yani 3%, ukosefu wa ajira n.k
Waambie wajiandae kuiba tu ndio suluhu yao, na round hii kila patakapoibiwa tambua kutakuwa na rangi ya simba sports club. #sasabasi
 
Back
Top Bottom