Ununuzi wa Ndege kuna 10% za mtukufu na ufisadi wa kutisha ndiyo maana CAG alipothubutu kugusa huko wakaamua kumtoa kafara kukwepa AibuYani kununua ndege ndo matumaini?kujenga uwanja wa mpira ndo matumaini?
Pathetic
Kama ana uzoefu mbona hajiamini mpaka kutumia udikiteta kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?Dr Magufuli hakuwa na zero experience, yeye alikuwa n waziri mwandamizi. Kumbuka amekuwa naibu na waziri kamili kwa kipindi cha miaka 20
Changamoto za hapa na pale.Wanabodi,
Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.
Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.
Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.
Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.
Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni
Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.
#2020 kura kwa John
CCM ipo kwa ajili ya kutafuna ruzukuWapo kwa ajiri ya ruzuku tu hamna lolote
Mimi nimemuelewa.Hiyo heading yako mbona haieleweki?
Nafikiri itapendeza ukianza kubadilika wewe. Kwa maana kuonesha kukubali mazuri ambayo serikali ya Tanzania imeyafanya ndio mwanzo wa kujifunza kuwa Mzalendo, sio kupinga tu na kuwadharau wanaosifu juhudi za serikali.Utatetea ccm kwasababu ya uvivu wako na akili changa ya mambo ukikua utabadilika.
Ili watu waweze kuendelea ni lazima wawekewe mazingira ya wao kuweza kujiletea maendeleo yao ya kiuchumi pamoja na Maendeleo ya Taifa lao.Yani kununua ndege ndo matumaini?kujenga uwanja wa mpira ndo matumaini?
Pathetic
TBC walikuwa wanatejeoeza majukukumu yao nyie mkawafukuza. Halafu wasipoonekana manalalamika.TBCCCM sasa ni mali binafsi ya CCM walienda kuhujumu mkutano wa chadema, wanalipwa mishahara kwa kodi za watanzania wote lakini cha ajabu wamekuwa watumwa wa CCM tu, corona ipo chini chini watu wanakufa lakini husingizia ni magonjwa mengine kuogopa kutengwa na jamii lakini ipo, CCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani sasa wamekuja na style haramu ya kupita bila kupingwa ukiwa ni ushetani Hatari tokea Nchi ipate uhuru mwaka 1961
Hahahaaaa umeongea kinyume cha ukweliCCM ipo kwa ajili ya kutafuna ruzuku
Kabisa ambacho ni kitu Cha kawaidaChangamoto za hapa na pale.
Tatizo lake ni undumilakuwiliNinacho mkubali ZITTO ni uwezo wa kuonyesha mawazo mbadala na huo ndio upinzani.
Wote tunajua wapinzani nao ni watumishi wa umma wanaishi kupitia ruzuku ambayo ni kodi za wananchi.
Toa kwanza minyoo kichwani ndio utaona Dr Magufuli anajiaminiKama ana uzoefu mbona hajiamini mpaka kutumia udikiteta kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?
Utasubiri Sana. Mgombea wako sidhani Kama atapata asilimia 25 katika uchaguzi huu. Itakuwa ngumu sanaKabisa. Uzalendo wa Lissu usipouona wewe ni buku 7. Waulize buku 7 wenzio watakwambia. Hivi wana hofu sana kuwa watakula wapi sasa kwa upepo huu?
Bila angalau ya buku 7 kwa hakika hayupo wa kuandika huu utopolo mnaoandika. Kwa hamasa ipi?
Kama ni kweli tuliibiwa ulitaka asemeje?Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.
Asiejua maana haambiwi maanaHivi nyie watu mnaokotwa wapi, hata Kiswahili jamani? Mnaishushia hadhi JF yetu, rudini huko huko Lumumba.
Kumbe! Kwa hiyo kulalamika na kukurupuka kote kumbe alikuwa ndani ya serikali zilizopita akila nao, akishirikiana nao, akifisadi nao! Halafu leo anadai anainyosha nchi! Kweli wajinga ndio waliwao!
Waganga njaa hao wanawanyima usingizi na kuwafanya muogope uchaguzi tumbafu nyie.Akuna wapinzani kuna waganga njaa tu.
Kuku unaemfuga mwenye ya nini kukimbiza nae,unasubiri tu jua lizame atakuja mwenyewe.Waganga njaa hao wanawanyima usingizi na kuwafanya muogope uchaguzi tumbafu nyie.
Kwenda kulee, kwa uonevu mnaoufanya unataka msilalamikiwe.Wanabodi,
Ninafurahi kuona kampeni za Uchaguzi mkuu wa 2020 zimeanza huku amani ikitamalaki licha ya changamoto za hapa na pale.
Nimefuatilia uzinduzi wa kampeni wa vyama vya CCM, CDM na ACT- Wazalendo na kugundua kuwa Upinzani bado haujajipanga kuchukua dola.
Uzinduzi wao umejawa na ulalamishi na kupiga madongo CCM. Hakuna matumaibi yoyote ya maana kutoka kwao. CDM hawakuweza hata kuwanadi wagombea wa nafasi ya udiwani. Walishindwa hata kumualika mgombea wao wa Zanzibar. Yani mambo ni hovyo.
Upande mwingine mgombea wa CCM alitoa hotuba iliyojaa matumaini, iliyosheheni data na kutoa dira.
Kwa upande wa mgombea wa CCM, hata jinsi alivyosvughulikia ugonjwa wa korona peke yake inatosha kumpigia kampeni
Wapinzani wanasema TBC haiwatendei haki lakini TBC hiyo ikienda kurusha matangazo yao wanafukuzwa. Walisema kuhusu muungano lakini hakuna lolote. Tuwakatae.
#2020 kura kwa John