Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wewe ni zaidi ya kiwewe yaani hata hujui umeandika kitu gani.
Mtamkubuka sana nyinyi wachumia tumboNi jambo jema.
RIP Magufuli
Kamanda mwenzangu ujenzi unaendeleaNiko nchi ya watu hapa, naona treni za umeme zinapishana kutuo kimoja na hawana kelele kama hizi za SGR ya dar moro ambayo hata kuisha haishi !!
Si Maghufuli alidai ni fedha za ndani !! Leo mama anasema fedha ndani haziwezi mpaka akope!! Nnyinyi wafuasi wa watawala mmerogwa , hata kuhoji hamuwezi ?!Kamanda mwenzangu ujenzi unaendelea
Kikubwa ujenzi ukamilikeSi Maghufuli alidai ni fedha za ndani !! Leo mama anasema fedha ndani haziwezi mpaka akope!! Nnyinyi wafuasi wa watawala mmerogwa , hata kuhoji hamuwezi ?!
Tuliambiwa tunatengeneza kwa fedha za ndani.
Magufuli alitudanganya tunajenga kwa fedha za ndani.Ni jambo jema.
RIP Magufuli